Mwanafunzi auawa madai kuiba duka la M-Pesa

Mwanafunzi auawa madai kuiba duka la M-Pesa

Wangemfunga hata miaka 10 tu yasingemkuta haya. Wakamuachia uraiani, raia wamemuondosha.
.... sijui wangemfunga gereza gani kwa umri na tabia yake; kwa wakubwa umri wake unakataa; kwa watoto kwa tabia yake angewaharibu sana. Huko alikopelekwa ndipo pahala sahihi kwake. Tanzania haijaishiwa na watu hadi mijitu kama hiyo iwepo kwenye jamii.
 
Wengine majambazi humu na wao wanamhukumu dogo kwamba mwizi.

Usikute vihela vyenyewe buku jero tuu alitaka akanywe chai njaa inauma!!!

Majizi yatanipinga!! Huo ndo ukweRiii, muache vihereheree huku mna madhambii debe sema tu ni vile hamjakamatwa!
 
Hata humu nimepata taarifa kuna wafiraji na wafirwaji, ati na wao wanamuhukumu dogo!!

Wana madhambii na mauchafu kibao, ushirikina, ubakajii na matakataka yote lakinii ni magwiji wa KUHUKUMU.

Muacheni dogo ajipumzikie zake, hakuna anayejua ni nini kilikuwa kinamsibu, na pengine pia hakuwepo mtu aliyekuwa tayari kumsaidia!!

Acheni VIHEREHEREE nyie MAHAKIMU UCHWARA!!
 
RIP kijana mdogo..ndoto zako zimezimwa kwa tamaa ya maisha
Tamaa ya maisha wapi, usikute hako kahela kenyewe buku jeroo ya mandazi mawiliii njaa inamuuma tu!

Huyu dogo inaonekana kuna kitu kilikuwa kinamsibu na hakuna aliyekuwa tayari kumsaidia.

Alifukuzwa shule na pengine hata nyumbani wakawa wanamsakama mpaka akaamua akaibe vihela vya maandazii buku jero!!

Pamoja na yote, hakuna mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu kwa minajili yoyote ilee.

Wahuni waliohusika kufanya mauaji wakamatwe na wapewe adhabu wanayostahili kwa mujibu wa sheria za nchi ZILIZOWEKWA.
 
alikopelekwa ndipo pahala sahihi kwake. Tanzania haijaishiwa na watu hadi mijitu kama hiyo iwepo kwenye jamii.

Magwiji wa kuhukumu nyie, MAHAKIMU UCHWARA.

Usikute lizinzi, lichafu, jizi, chawi, libakajii lakini lina jeuri ya kuhukumu.
 
Ndiyo muone sasa aina ya wanafunzi ambao wanapatikana kwa wingi katika shule zetu za kata.

Na utakuta jamii inataka mtoto mwenye tabia za aina hii, apate daraja la kwanza kwenye Mtihani wake wa Taifa!!
Sio jamii...maofisa elimu na viongozi wengine wanataka div I kwa watoto wenye maadili mabovu, watoto waliodumaa akili, watoto watukutu na wakiadabishwa jamii yote inakuja juu sasa ngoja walimwengu wafundishane
 
Back
Top Bottom