Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkasome huko.... Hizi zetu ni bakora kama alivyotufundisha mjerumani..!!Mimi sikubaliani na adhabu ya fimbo kama ndio njia ya kutatua tatizo,mbona international school hawana huo ukiritimba na wanafanya poa zaidi ya wanaochapwa viboko 20+
Sasa hivi una muona hana akili, ila subiri mamlaka zichukue hatua ndiyo utajua kuwa jamaa ana akili au hana akili. Au subiri huyo mwanafunzi apatwe na madhila mabaya zaidi ndiyo utajua reaction ya watu. Atakaye teseka ni mwalimu/walimu waliohusika na hilo tukio. Walimu sijui hawajifunzi kutokana na matukio ya siku za nyuma. Pia nyakati zimebadilika sana. Kila kimebadilika sana, na mabadiliko huwezi kuyazuia wewe. Suala la fimbo sikatai ila fimbo 20 hapo Hapana. Times have changed. Hatuwezi kuendelea kuishi kwa kutumia akili na nadharia za karne ya 20. Sasa hivi ni karne ya 21 kaka. Dunia imebadilika kwenye kila eneo pamoja na kwenye namna ya kutoa adhabu. Sasa wamemchapa huyo mwanafunzi, nini wamenufaika? Na hii habari aliyoanzisha huyo jamaa itaelea kama upepo. Huna uwezo wa kuzuia siku hizi kutoa habari kwa sababu kila mmoja amepewa platform ya kutoa habari. WasalamHuna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu
Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.
Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.
Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.
Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.
Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.
Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.
Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.
Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.
Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.
Tupaze sauti.
Usiwaangamize walimu wenzako. Subiri huyo mwanafunzi hali yake iwe tete au mamlaka zichukue hatua zaidi ndipo utajua kuwa fimbo 20 chache au nyingi.Yaani tupaze sauti kwa sababu mtoto ameonywa kwa fimbo 20? Acha ujinga.
Siku hizi dunia jmebadilika kaka. Huhitaji kuwa mpishi, mwalimu au mlinzi kuthibitisha. Technology imempa platform ya bure kila mtu kuandika habari hata kama hazijathibitishwa ila zina ukweli. Wewe hujui kuwa mambo makubwa mengi yalianzishwa yakiwa madogo kabisa na baadae yakakua?Habari hii uliyethibisha hadi ukaileta hapa ni mwalimu, mpishi, mlinzi au nani? Ina ukakasi katika ukweli wake!
Ni kweli mkuu. Nyakati zimebadilika sana, hatuwezi kuendelea kuishi kama zamani hata kama hatupendi kuyaacha ya zamaniKuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.
Huyo ni mwalimu, anawatetea wenzake hata kama anajua ni kweli wamekoseaKosa la mtoa mada ni lipi?
Kaka dunia umebadilika sana. Mwanafunzi wa sasa hawezi kuishi kama ulivyoishi wewe. Pia subiri huyo mwanafunzi hali yake iwe tete zaidi ndiyo utajua kama fimbo 20 ni chache au nyingi. Sijui kwanini nyie walimu hamjifunzi kitu kutoka kwa walimu wenzenu walio wahi kuchapa wanafunzi na mwishowe wakaishia kuchapwa wao na mamlaka.Mbona uko upande wa mwanafunzi zaidi?
Kila kinachosemwa na walimu wake wewe unasema ni uongo kwani wewe ni nani yake??
Hadi wanafunzi waliotoa ushahidi unasema wamelazimishwa na walimu, we umejuaje? hao wanafunzi si ndio wanakaa muda mrefu na huyo mwanafunzi!?
Mboko 20 chache sana, hizo simu zinaharibu sana mabinti, tena zinawapa viburi zaidi. Huko kwenye simu wanavimbishwa mabichwa na viboyfriend uchwara wamlambe bakora zaidi mpaka aseme ni nani huwa anawasiliana nae humo simuni.
Mwalimu unawatetea walimu wenzakoHuyu mtoa mada nadhani atakuwa bwana wa huyo mwanafunzi na ndiye anaye mharibu mtoto wa watu maana amepata wapi taarifa zote mpaka afya yake?
Idadi kubwa sasa ya wanafunzi ni shida tupu kuanzia sekondari mpaka chuo nidhamu ni sifuri na wamejaa uvivu.Hizo bakora aongezwe tena nyingine 20.Anawasiliana na nani shule tena kwa Siri, ili hali utaratibu wa kuongea na wazazi au walezi upo wazi? Kama hutaki mwanao asipigwe, basi baki nae nyumbani kwako.Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.
Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.
Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.
Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.
Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.
Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.
Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.
Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.
Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.
Tupaze sauti.
Times have changed brother. It's 7:00am.Idadi kubwa sasa ya wanafunzi ni shida tupu kuanzia sekondari mpaka chuo nidhamu ni sifuri na wamejaa uvivu.Hizo bakora aongezwe tena nyingine 20.Anawasiliana na nani shule tena kwa Siri, ili hali utaratibu wa kuongea na wazazi au walezi upo wazi? Kama hutaki mwanao asipigwe, basi baki nae nyumbani kwako.
Wewe bint pia una simu ili uwe unadanga badala ya kusoma. Ukikamatwa uchapwe fimbo 100 kabisa. Wenzio wanasema una tabia ya kutafutia mabwana mabinti wenzio hizo tabia za umalaya kafanyie kwenu.Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.
Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.
Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.
Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.
Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.
Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.
Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.
Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.
Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.
Tupaze sauti.
Umesoma vizuri ukaelea kweli,au wewe umeona anatetea ujinga?Huna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu
Wakati huohuo mtoto akikosa kipindi nongwa!Kuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.
Kuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.
Wewe nadhani ulikuwa ukichati na huyo binti ndo maana unashadadia ujingaFuatilia waalimu akili zao. Zinafananafanana. Halafu huwa wapumbavupumbavu sana.