Mi naona we ndio una Upumbavu sababu mwalimu anaelekezwa kuchapa kwenye Course ya education in psychologyFuatilia waalimu akili zao. Zinafananafanana. Halafu huwa wapumbavupumbavu sana.
Mkuu ni labda umeamua kukaza tu fuvu. Ni wazi umeshindwa kuamua kinachopigiwa kelele hapa. Hakuna anayetetea kosa la m/funzi. Kinachopigiwa kelele ni adhabu ya bakora, tena viboko 20. Adhabu ya viboko ni ya kipumbavu. Si bure utakua mmoja wapo katika hilo kundi.Kwanini usiwe mwalimu ili utumie akili zako nzuri?
Kwanini usiwe askari ili utumie akili zako nzuri?
Mwisho wa siku watu wote mnatetea walimu na mnaotete mwanafunzi hakuna mjualo zaidi ya mihemko tu maana hapa mmesoma uzi wa upande mmoja hamjasikiliza upande wa pili wa stori ili mpate uhalisia.
Huwezi kumhukumu mtu bila kusikiliza pande zote
Mjinga nini yani we utajisikiaje mwanao anaumwa afu wanasema anajifanyisha afu apigwe ivyo tumia akiliHuna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu
Hahaha acha kudekeza watoto banaAhh kwenda zako.
Mbona dada yenu mange kimavi aliwaambia muandamane kumpinga Magufuli hamkutokea kwa kuogopa virungu vya polisi?
Thubutu. Hebu jitokeze tuone unavyohimili virungu.
Watoto wanatofautiana sana. Pale CW wanafanyaje? Mbona hakuna fimbo na watoto wana discpline kweli. Mtoto anakosea anajadili ukosefu wake wa nizamu kama mtu mzima akitoka hapo anaandika barua ya kuomba msamaha kwa kingereza safi. Wakati wa mjadala kama mzazi ni mkulima huwezi elewa wanaongea nini maana ni kile kingereza cha kuongelea kooni.Watoto siku hizi wamekuwa sio waoga na viburi sababu ya wanaharakati uchwara kama wewe......Mimi nilikuwa situmii fimbo ikafikia kipindi watoto wakanizomea nilipowapa amri wakae kwa foleni wasiumizane....Siku zilizofuata nikaona ni ujinga niliwatandika kisawasawa baada ya hapo wakaacha Tabia hizo na heshima ikarudi
We utakuwa kahabaFuatilia waalimu akili zao. Zinafananafanana. Halafu huwa wapumbavupumbavu sana.
Bright? wewe unaongea tuu, fuatilia tabia zao ndio wanao support rainbowKwahiyo "kuhisiwa" ana simu ndio inatoa tafsiri ya hayo yote uliyoandika hapo?
Ndio maana kumbe watoto wa international wako very bright kwasababu wanaishi uhalisia(usasa) kuliko hawa kayumba ambao wanaishi ujima, Imagine simu na kompyuta inaonekana ni anasa!. No wonder ndio maana mtoto anashambuliwa kama mwizi.
Huyu jamaa Ni teacher wa hapo jangwani, alikuwa mawindoni kwa huyo binti aliyekaangwa barakoa na inaonekana walikuwa na maelewano na yeye , istoshe kashachakata mbususu kimasihkara ndyo maana imempain Sana!Mkuu Wewe ni nani, tuone taarifa uliyotoa ipo sahihi kiasi gani, kwamba huyo mtoto kipindi anaadhibiwa ulikuwepo?
Umejuaje kwamba walimu walisema mtoto haumwi bali anajifanyisha tu?
Habari imekaa kiukandamizaji zaidi kwa walimu labda ungekua mwandishi ambae amehoji pande zote mbili ungebalance stori yako.
Yote kwa yote wote wafate sheria wanafunzi kwa walimu.
Wajuvi wa sheria mje hapa kutupa mwomgozo wa kumtetea mtoto.Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.
Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.
Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.
Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.
Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.
Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.
Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.
Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.
Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.
Tupaze sauti.
Wewe ndio ufuatilie maana mimi hutonidanganya kuhusu kayumba au international, nishapita kwote huko. Mbona mashoga wengi wanatokea mitaa ya waswahili kwa wingi ambako wanatokea watoto wengi wa kayumba?Bright? wewe unaongea tuu, fuatilia tabia zao ndio wanao support rainbow
Hao wanafunzi wa Amsterdam labda, yaani anaita mvua dk 5 anashusha utamfanya Nini zaidi ya fimbo tu.Kuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.
Tena umevuliwa captula mbele ya staff wanakugombania kama mpira wa kona wenngine wanakusema , wengine viboko tena mbele ya mzazi wakoWewe ni mzazi, mwanafunzi mwenzake, jirani au kiongozi? Fimbo 20 ndo zakugungua Uzi, watu tulikula fimbo 40 + kukata kuni meta mbili mbili na shule iliendelea.
watu tulikula fimbo 40 +
Kumbe kufanyiwa ukatili ni sifa?Tena umevuliwa captula mbele ya staff wanakugombania kama mpira wa kona wenngine wanakusema , wengine viboko