Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

Watoto siku hizi wamekuwa sio waoga na viburi sababu ya wanaharakati uchwara kama wewe......Mimi nilikuwa situmii fimbo ikafikia kipindi watoto wakanizomea nilipowapa amri wakae kwa foleni wasiumizane....Siku zilizofuata nikaona ni ujinga niliwatandika kisawasawa baada ya hapo wakaacha Tabia hizo na heshima ikarudi
 
Kwanini usiwe mwalimu ili utumie akili zako nzuri?

Kwanini usiwe askari ili utumie akili zako nzuri?

Mwisho wa siku watu wote mnatetea walimu na mnaotete mwanafunzi hakuna mjualo zaidi ya mihemko tu maana hapa mmesoma uzi wa upande mmoja hamjasikiliza upande wa pili wa stori ili mpate uhalisia.

Huwezi kumhukumu mtu bila kusikiliza pande zote
Mkuu ni labda umeamua kukaza tu fuvu. Ni wazi umeshindwa kuamua kinachopigiwa kelele hapa. Hakuna anayetetea kosa la m/funzi. Kinachopigiwa kelele ni adhabu ya bakora, tena viboko 20. Adhabu ya viboko ni ya kipumbavu. Si bure utakua mmoja wapo katika hilo kundi.
 
We
Huna akili wewe.
Nyie ndio mnalea ujinga kwa watoto
Tupoteze muda kwa swala la malezi mabovu kwa mtoto wako. Kwanza hao walimu wangeongeza idadi zifike fimbo 100 kwa tako moja.
Ameenda kusoma au kuchati na kupiga picha walimu..
Ficha ujinga wako mkuu
Mjinga nini yani we utajisikiaje mwanao anaumwa afu wanasema anajifanyisha afu apigwe ivyo tumia akili
 
Watoto siku hizi wamekuwa sio waoga na viburi sababu ya wanaharakati uchwara kama wewe......Mimi nilikuwa situmii fimbo ikafikia kipindi watoto wakanizomea nilipowapa amri wakae kwa foleni wasiumizane....Siku zilizofuata nikaona ni ujinga niliwatandika kisawasawa baada ya hapo wakaacha Tabia hizo na heshima ikarudi
Watoto wanatofautiana sana. Pale CW wanafanyaje? Mbona hakuna fimbo na watoto wana discpline kweli. Mtoto anakosea anajadili ukosefu wake wa nizamu kama mtu mzima akitoka hapo anaandika barua ya kuomba msamaha kwa kingereza safi. Wakati wa mjadala kama mzazi ni mkulima huwezi elewa wanaongea nini maana ni kile kingereza cha kuongelea kooni.
 
Serikali inapaswa kutenga mshara mnono sana kwa waalimu halafu ichukue waalimu baada ya kufaulu vizuri sana pia kuwe na board ya professional teachers ambapo ili uwe mwalimu lazima uwe unatambulika na wao. Hapa tunaweza pata walimu wenye exposure ya kudeal na mwanafunzi kulingana na mazingira mapya ya Dunia ya tecknolojia.

Unakuta mwalimu anagoma mwanafunzi asitumie calculator sababu inalemaza wakati kuna nchi wanatumia comp zenye internet kufanya mitihani. Huku mtu miaka 30 ndo anapata degree ya kwanza wakati kuna nchi miaka 17, 18 wanamaliza.
 
Kwahiyo "kuhisiwa" ana simu ndio inatoa tafsiri ya hayo yote uliyoandika hapo?

Ndio maana kumbe watoto wa international wako very bright kwasababu wanaishi uhalisia(usasa) kuliko hawa kayumba ambao wanaishi ujima, Imagine simu na kompyuta inaonekana ni anasa!. No wonder ndio maana mtoto anashambuliwa kama mwizi.
Bright? wewe unaongea tuu, fuatilia tabia zao ndio wanao support rainbow
 
Walimu sita wamempiga viboko 20.Mbona vichache. ukifanya hesabu za wastani.ukichukua viboko 20 gawa kwa walimu 6 N kuwa kila mwalimu kapiga viboko vitatu.Sio vingi kwa mtoto jeuri vichache sana kiwandani

Walimu hao hawajitumi vizuri kuchapa viboko
 
Mkuu Wewe ni nani, tuone taarifa uliyotoa ipo sahihi kiasi gani, kwamba huyo mtoto kipindi anaadhibiwa ulikuwepo?

Umejuaje kwamba walimu walisema mtoto haumwi bali anajifanyisha tu?

Habari imekaa kiukandamizaji zaidi kwa walimu labda ungekua mwandishi ambae amehoji pande zote mbili ungebalance stori yako.

Yote kwa yote wote wafate sheria wanafunzi kwa walimu.
Huyu jamaa Ni teacher wa hapo jangwani, alikuwa mawindoni kwa huyo binti aliyekaangwa barakoa na inaonekana walikuwa na maelewano na yeye , istoshe kashachakata mbususu kimasihkara ndyo maana imempain Sana!
 
Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika simu.

Mwalimu aliyesema hivyo alimvua nguo na kumpekua kila mahala na hakukuta simu. Alimchukua hadi ofisi ya walimu na kumlazimisha akiri lakini alikataa ndipo walimu 6 wakamshushia kipigo cha fimbo 20.

Mmoja alimchapa 5 wawili 4 kila mmoja, mmoja 3 na wawili 2 kila mmoja. Wapo walimu wa kiume na wa kike waliofanya kipigo hiki. Alipoona kipigo kina zidi aliropoka kuwa yeye hana simu bali aliye na simu ni mwenzake.

Huyo aliyetajwa kachukuliwa hatua japo mzazi alikuja kukiri binti yake kuwahi kuwa na simu.

Huyu binti aliyechapwa alihamishiwa shuleni hapo na kuishi bweni akitokea mkoani kutokana na tatizo la kiafya. Hali hiyo bado ilikuwa inamsumbua na zipo kumbukumbu katika hospitali za Dar na huko alikotoka lakini baadhi ya walimu wanasema anajifanyisha hivyo kushindikiza atolewe bweni azma ambayo wameipitisha pamoja na hicho kipigo.

Tatizo jingine ni imani kwa kuwa jitihadi za kumbadili kupitia ugonjwa zilipo shindikana wanasema haumwi.

Wapo wanafunzi walibadilishwa na kwenda upande wa hao walimu.

Tunaomba TAMISEMI, Polisi na Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto wafuatilie suala hili. Huyu binti ni mgonjwa sasa akiwa mwanafunzi wa kutwa akipata tatizo njiani nani wa kuwajibika.

Mtoto wa kike anadhalilishwa fimbo 20 shule tena kwenye makalio.

Tupaze sauti.
Wajuvi wa sheria mje hapa kutupa mwomgozo wa kumtetea mtoto.
 
Wewe ni mzazi, mwanafunzi mwenzake, jirani au kiongozi? Fimbo 20 ndo zakugungua Uzi, watu tulikula fimbo 40 + kukata kuni meta mbili mbili na shule iliendelea.
 
Kuna adhabu za kuwapa watoto na sio mabakora. Ndio maana tunaonekana manyani meusi yasiyo na akili.
Mpe jembe akalime/afyeke/asafishe vyoo vya shule/apige magoti aite mvua mpaka wenzake wakitoka darasani/apewe suspension/alazimishwe asome vitabu kadhaa na aviandikie muhtasar la sivyo anafukuzwa shule n.k nk. mpe adhabu za kumjenga na sio kudhalilisha utu wake.
Hao wanafunzi wa Amsterdam labda, yaani anaita mvua dk 5 anashusha utamfanya Nini zaidi ya fimbo tu.
 
Wewe ni mzazi, mwanafunzi mwenzake, jirani au kiongozi? Fimbo 20 ndo zakugungua Uzi, watu tulikula fimbo 40 + kukata kuni meta mbili mbili na shule iliendelea.
Tena umevuliwa captula mbele ya staff wanakugombania kama mpira wa kona wenngine wanakusema , wengine viboko tena mbele ya mzazi wako
 
Back
Top Bottom