Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Binti nawapa simu mwenyewe, akipata mimba nitalea mjukuu, akipata UKIMWI atameza ARV. Ila simu, computer, gari, exposure, life skills na Hofu ya MUNGU anavipata kutoka kwangu baba yake na mama yake, hayo ya HIV na Mimba naamini atayashinda.
@22 ruksa kuolewa. Before 22 yupo busy na biashara za familia, elimu kuanzia form 1 mpaka degree ni ndani ya mji ambao mm na mama yake tupo ili kumpa elimu ya maisha na biashara na uzoefu except kwa aliyechagua sayansi, huyo hata nje MUNGU akiruhusu ataenda.
Mambo ya mtoto yupo bording anatandikwa viboko 20 kumpa displine mm siyataki, usugu tu anatengenezewa na maisha yanahitaji experience sio usugu na ununda.
@22 ruksa kuolewa. Before 22 yupo busy na biashara za familia, elimu kuanzia form 1 mpaka degree ni ndani ya mji ambao mm na mama yake tupo ili kumpa elimu ya maisha na biashara na uzoefu except kwa aliyechagua sayansi, huyo hata nje MUNGU akiruhusu ataenda.
Mambo ya mtoto yupo bording anatandikwa viboko 20 kumpa displine mm siyataki, usugu tu anatengenezewa na maisha yanahitaji experience sio usugu na ununda.