Mwanafunzi bora kitaifa ametoka Shule ya Wasichana Baobab

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,947
Reaction score
7,939
Naisifu shule ya secondari Baobab kwa kutoa mwanafunzi bora kabisa Tanzania. Usimamizi wa nidhamu na taaluma pamoja na michezo na lishe ya hali ya juu ni nguzo katika kufanikisha ushindi mkubwa wa shule hii tofauti na mashule mengi ya binafsi hapa Tanzania, nawatakia kila la heri
 

Mkuu, ndio hii shule watoto wa Mcharo walikua wanasoma? Maana niliwaona kwenye Skonga, mmoja amekuwa wa 7 na mwingine wa 9.
 
ADa ya hii shule ya baobab ikoje kwa mwaka???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…