engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
NDUGU wana Jf,habari
napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia wa kichina kwa kuchomwa kisu,mwanafunzi huyo ameuwawa chumbani kwake bwenini wakati akiwa anajiandaa na mtihani kesho,Ndugu wana jf tupo ktk mazingira magumu kwani watanzania hapa tupo wawili mmoja anatokea Moshi na mimi natokea Morogoro,hivyo tunaomba mjue kuwa chochote chaweza tokea kwa sisi ndugu zenu tulio hapa china
hii ni taarifa tu nawaomba wapeni taarifa na ndugu zetu walio china ktk vyuo vingine wajihadhari na hili
mapinduzi daimaaaaaa
ndugu wana jf,habari
napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china yangling katika chuo nisomacho northwest a&f university mwanafunzi kutoka bangradeshi ameuwauwa na raia wa kichina kwa kuchomwa kisu,mwanafunzi huyo ameuwawa chumbani kwake bwenini wakati akiwa anajiandaa na mtihani kesho,ndugu wana jf tupo ktk mazingira magumu kwani watanzania hapa tupo wawili mmoja anatokea moshi na mimi natokea morogoro,hivyo tunaomba mjue kuwa chochote chaweza tokea kwa sisi ndugu zenu tulio hapa china
hii ni taarifa tu nawaomba wapeni taarifa na ndugu zetu walio china ktk vyuo vingine wajihadhari na hili
mapinduzi daimaaaaaa
mbona hukutueleza chanzo cha mauaji hayo ni nini? Kindly do some investigation a bit ili utujuze
napenda kutoa taarifa kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia kama ifuatavyo:
wasifu wa jamaa alikuwa ni mwanafunzi wa Phd. na alikuwa nimpole naasiye na maneno mengi sana pindi uongeapo na mtu mwenyekujali muda wake na masomo. siku ya tukio inasemekana alikuwa chumbani kwake na huyo muuaji wa kichina alikuwa akipita na kugonga gonga milango ili afunguliwe, lakini alipofika mlango wa mwisho kwenye chumba cha mwsho cha mrehemu alivunja mlango na kuingia. Marehemu aliyekuwa anaishi gorofa inavyoonekana alifanikiwa kumkimbia muuaji(mchina) na kukimbilia gorofa ya 3 akiomba msaada huku akikimbizwa na huyo mtoaroho(mchina). Bahati yake ilikuwa mbaya kwani hakukua na watu imara wakuweza kuzuia tukio hilo kutokana na muuwaji kuwa na kisu nakuanza kumshambulia mbaghaladeshi wa watu mpaka kumuua. Kisha mchina huyo alisikika akisema 我杀了他
(l killed him) na kama unaweza njoo na wewe nikuuwe alisikika hivyo.
Baada ya tukio hilo ilichukua muda wa 30min kwa wahusika police kufika eneo la tukio bila ya ambulance kwaajili ya kumchukuwa mtu huyo kwenda huspitali kwasababu tulihisi kama angekuwa bado anauzima, lakini ilichukuwa kama muda wa masaa matatu nakuona mwili ikitole na police ukiwa umefunikwa nakutoweka nao kwaharaka kwenda kuhifadhiwa hospital.
Hii ndiyo taarifa ya private intelligence agent(me)
napenda kutoa taarifa kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia kama ifuatavyo:
wasifu wa jamaa alikuwa ni mwanafunzi wa Phd. na alikuwa nimpole naasiye na maneno mengi sana pindi uongeapo na mtu mwenyekujali muda wake na masomo. siku ya tukio inasemekana alikuwa chumbani kwake na huyo muuaji wa kichina alikuwa akipita na kugonga gonga milango ili afunguliwe, lakini alipofika mlango wa mwisho kwenye chumba cha mwsho cha mrehemu alivunja mlango na kuingia. Marehemu aliyekuwa anaishi gorofa inavyoonekana alifanikiwa kumkimbia muuaji(mchina) na kukimbilia gorofa ya 3 akiomba msaada huku akikimbizwa na huyo mtoaroho(mchina). Bahati yake ilikuwa mbaya kwani hakukua na watu imara wakuweza kuzuia tukio hilo kutokana na muuwaji kuwa na kisu nakuanza kumshambulia mbaghaladeshi wa watu mpaka kumuua. Kisha mchina huyo alisikika akisema 我杀了他
(l killed him) na kama unaweza njoo na wewe nikuuwe alisikika hivyo.
Baada ya tukio hilo ilichukua muda wa 30min kwa wahusika police kufika eneo la tukio bila ya ambulance kwaajili ya kumchukuwa mtu huyo kwenda huspitali kwasababu tulihisi kama angekuwa bado anauzima, lakini ilichukuwa kama muda wa masaa matatu nakuona mwili ikitole na police ukiwa umefunikwa nakutoweka nao kwaharaka kwenda kuhifadhiwa hospital.
Hii ndiyo taarifa ya private intelligence agent(me)
NDUGU wana Jf,habari
napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia wa kichina kwa kuchomwa kisu,mwanafunzi huyo ameuwawa chumbani kwake bwenini wakati akiwa anajiandaa na mtihani kesho,Ndugu wana jf tupo ktk mazingira magumu kwani watanzania hapa tupo wawili mmoja anatokea Moshi na mimi natokea Morogoro,hivyo tunaomba mjue kuwa chochote chaweza tokea kwa sisi ndugu zenu tulio hapa china
hii ni taarifa tu nawaomba wapeni taarifa na ndugu zetu walio china ktk vyuo vingine wajihadhari na hili
mapinduzi daimaaaaaa
alisubiri aje kukamatwa na alikamatwa, akipelekwa huku akilia, sijui kilichoendelea tena. lakini nahisi, atafikishwa kunakoshahili na hatimaye kunyongwa. mwiho wa kuwasilishaPOLENI sana ndugu zetu, chukueni tahadhali. Huyo muuaji ni mwanafunzi mwenzenu na je kesha kamatwa, au kaishia ki namna?
Hii habari tija yake ni nini? mbangladeshe na watanzania wawili katika hicho chuo nk? then! alafu ipo Jukwaa la Siasa?! Moderators mnakula karanga na watoto wa mtendeni tu au mko nyuma ya pazia!
napenda kutoa taarifa kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia kama ifuatavyo:
wasifu wa jamaa alikuwa ni mwanafunzi wa Phd. na alikuwa nimpole naasiye na maneno mengi sana pindi uongeapo na mtu mwenyekujali muda wake na masomo. siku ya tukio inasemekana alikuwa chumbani kwake na huyo muuaji wa kichina alikuwa akipita na kugonga gonga milango ili afunguliwe, lakini alipofika mlango wa mwisho kwenye chumba cha mwsho cha mrehemu alivunja mlango na kuingia. Marehemu aliyekuwa anaishi gorofa inavyoonekana alifanikiwa kumkimbia muuaji(mchina) na kukimbilia gorofa ya 3 akiomba msaada huku akikimbizwa na huyo mtoaroho(mchina). Bahati yake ilikuwa mbaya kwani hakukua na watu imara wakuweza kuzuia tukio hilo kutokana na muuwaji kuwa na kisu nakuanza kumshambulia mbaghaladeshi wa watu mpaka kumuua. Kisha mchina huyo alisikika akisema 我杀了他
(l killed him) na kama unaweza njoo na wewe nikuuwe alisikika hivyo.
Baada ya tukio hilo ilichukua muda wa 30min kwa wahusika police kufika eneo la tukio bila ya ambulance kwaajili ya kumchukuwa mtu huyo kwenda huspitali kwasababu tulihisi kama angekuwa bado anauzima, lakini ilichukuwa kama muda wa masaa matatu nakuona mwili ikitole na police ukiwa umefunikwa nakutoweka nao kwaharaka kwenda kuhifadhiwa hospital.
Hii ndiyo taarifa ya private intelligence agent(me)
Poleni/inasikitisha sana. Kumbe ni kweli huko China wananyongwa papo kwa papo? Nasikia hata dreva akigonga na kuua kwa bahati mbaya?alisubiri aje kukamatwa na alikamatwa, akipelekwa huku akilia, sijui kilichoendelea tena. lakini nahisi, atafikishwa kunakoshahili na hatimaye kunyongwa. mwiho wa kuwasilisha