Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,901
- 410
ngoja niifuatilie vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania always ni wapole sana hutasikia mwanafunzi yeyote wa kigeni ameuawa hapa Tanzania iwe kwa wivu wa kimapenzi wala mambo mengine may be iwe bahati mbaya sana ila kweli kwa wenzetu nchi hasa za westers europe na Asia hawapendi kabisa wageni jitahidini sana muwe mnachukua tahadhari mara zote hasa kwenye madisco,clubs na kutembea usiku pia kutembea mchana pekeyenu!muwe macho na hilo!ila sasa nashangaa tukio hili mtu kafuatwa chumbani ni hostel au alikua anaishi mtaani
Huwezi amini hakuna sababu maalumu mpaka sasa iliyotolewa kwani inaonekana jamaa yaani muuwaji alimiss target,aliyechomwa kisu hana makuu ni mtu wa chumbani tu(PHD)hujasema bado,sababu hasa ni ipi iliyomfanya huyo mchina kuua?kujua chanzo cha ugomvi wao ndiyo muhimu ili iwe fundisho kwenu mnaoishi huko china na hata nchi nyingine pia
NDUGU wana Jf,habari
napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia wa kichina kwa kuchomwa kisu,mwanafunzi huyo ameuwawa chumbani kwake bwenini wakati akiwa anajiandaa na mtihani kesho,Ndugu wana jf tupo ktk mazingira magumu kwani watanzania hapa tupo wawili mmoja anatokea Moshi na mimi natokea Morogoro,hivyo tunaomba mjue kuwa chochote chaweza tokea kwa sisi ndugu zenu tulio hapa china
hii ni taarifa tu nawaomba wapeni taarifa na ndugu zetu walio china ktk vyuo vingine wajihadhari na hili
mapinduzi daimaaaaaa
Mkuu kama ulikuwepo hapa,unayo yasema ndio yaliotokea hapa kwani kama Dr wangefika kabla ya polisi huyuu jamaa angepona cha kushangaza polisi wamefika nusu saaaa then wakaaanza mambo yao ya kipolisi baada ya masaa 2 Dr wanaingia jamaa amekata roho,sijui hawajamaaa haka kautaratibu wamekatowa wapi,hakafai hata kuigwaPoleni wote mlioguswa na msiba huo.
Ni taarifa ya kusikitisha,
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na wimbi la mauaji kwa kutumia visu,unaona mtu ameejichokea maisha anakwenda shule ya chekechea kuua watoto,inatisha mno. Mbali na wivu wa kimapenzi wachina hawajatulia kabisa kiakili.
Jambo jingine la kushangaza ni kuwa hata ikitokea ajali,hawa wenzetu hawako sharp kusaidia majeruhi,watawaacha hapo mpaka polisi waje,na hata polisi wakija watafanya taratibu zao za kipolisi halafu ndo wanawapeleka hospitali.Kama ni maiti zitakaa hapo bila kufunikwa hata kama ni masaa kadhaa,hali hii inashangaza sana,nilisha wahi shuhudia mtu amegongwa anamaumivu lakini watu wanamuangalia tu,eti wanasubiri polisi.Inaudhi.
H uu mji unaoneka ni wamegangwe kwani hata walimu hutoa tahadhari kuwa wanaume wa hapa si wema,tunaishi ktk hostel na kila chumba kina mtu mmoja ama wawili na hostel yetu ina ghorofa 5 lakini chakushangaza jamaa kaacha watoto waliookuwa wakicheza koridoni na kwenda kummaliza jamaa,wanadai ni mala ya kwanza kwa mwanafunzi wa nje kufanyiwa jambo hili,ila hawa jamaa bado sina imani nao kabisaaaaaa,kwani mwezi uliopita wanafunzi wa kichina walipambana na wanafunzi wanaotoka japani so sijui itakuwaje baadaeengmtolera, Unaposema ni hatari sana na kwenu pia, Je hili huwa linajitokeza mara kwa mara au pengine jamaa hayupo vizuri kichwa na leo alipania kuua? Ikiwa ni jambo la kawaida kutokea hapo la wageni kuuawa then ni vyema mkafanya utaratibu wa kiusalama na chuo! Au hawawajali kabisa? Itabidi muhakikishe mnaishi kwenye hostel zenye usalama zaidi otherwise hii elimu kama mnaitafuta na roho zenu mmeshika mkononi itakuwa mashaka makubwa