Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 753
- 1,812
Mwanafunzi Ibrahim Shaaban wa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) anashikiliwa na polisi Mkoani Arusha Kwa kosa la kumuua mwenzake Evance Florian (17) katika ugomvi wa kudaiana sh, 3000.
Kamanda wa polisi Mkoa hapa Justine Masejo amethibitisha tukio hilo na kudai kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha maiti katika hospital ya rufaa Mount Meru huku mtuhumiwa akishikiliwa na polisi Kwa uchunguzi zaidi.
Kamanda wa polisi Mkoa hapa Justine Masejo amethibitisha tukio hilo na kudai kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha maiti katika hospital ya rufaa Mount Meru huku mtuhumiwa akishikiliwa na polisi Kwa uchunguzi zaidi.