Naomba ututajie sababu ni nini?ila nahis sababu huweza kuwa siasa,mapenzi,pombe.
yaani watanganyika kila siku ni kuuana,kuchinjana etc.Jamani mbona haya mambo yanatisha sasa.
R.I.P. kijana.
Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili BAMFED juzi jumatatu alivamiwa na watu wasiojulikana majira ya usiku maeneo ya shule ya secondary old moshi na kupigwa na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha kali..mwanafunzi huyo alipelekwa hospitali lakini juhudi za madaktari za kuyaokoa maisha yake hazikusaidia. Jana majira ya asubuhi alipoteza maisha !!! Marehemu ataagwa leo saa nne asubuhi ukumbi wa Mwl Julias K nyerere(JK HALL) tayari kwa kusafirishwa kuelekea shinyanga. RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI....AMINA
Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili BAMFED juzi jumatatu alivamiwa na watu wasiojulikana majira ya usiku maeneo ya shule ya secondary old moshi na kupigwa na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha kali..mwanafunzi huyo alipelekwa hospitali lakini juhudi za madaktari za kuyaokoa maisha yake hazikusaidia. Jana majira ya asubuhi alipoteza maisha !!! Marehemu ataagwa leo saa nne asubuhi ukumbi wa Mwl Julias K nyerere(JK HALL) tayari kwa kusafirishwa kuelekea shinyanga. RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI....AMINA
yaani watanganyika kila siku ni kuuana,kuchinjana etc.
Huko geita tena wamechinja mwanamke mmoja,duh!!