Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili suleiman John BAMFED juzi jumatatu alivamiwa na watu wasiojulikana majira ya usiku maeneo ya shule ya secondary old moshi na kupigwa na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha kali..mwanafunzi huyo alipelekwa hospitali lakini juhudi za madaktari za kuyaokoa maisha yake hazikusaidia. Jana majira ya asubuhi alipoteza maisha !!!
Marehemu ataagwa leo mchana ukumbi wa Mwl Julias K nyerere(JK HALL) tayari kwa kusafirishwa kuelekea shinyanga. RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI....AMINA
Marehemu ataagwa leo mchana ukumbi wa Mwl Julias K nyerere(JK HALL) tayari kwa kusafirishwa kuelekea shinyanga. RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI....AMINA