Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mwanafunzi MMOJA amefatriki SIMIYU kwa KUPIGWA na MWALIMU kisa kuchelewa kupeleka hmwk
Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule
Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka
Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea
MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA homework
AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10
HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi
BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu
Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo
BAADA ya kufanyiwa vipimo ilionyeshaa mtoto amevuja damu nyingi KICHWANI kwa kuanyagwa KICHWANI na mwl husika
HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa
Waziri WA ELIMU huyu fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalah
Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule
Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka
Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea
MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA homework
AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10
HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi
BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu
Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo
BAADA ya kufanyiwa vipimo ilionyeshaa mtoto amevuja damu nyingi KICHWANI kwa kuanyagwa KICHWANI na mwl husika
HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa
Waziri WA ELIMU huyu fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalah