Mwanafunzi simiyu afariki kwa kupigwa na mwalimu. waziri wa elimu lifanyien kazi hiili hii shule wanasema ni mara ya tatu mtoto kufariki

Mwanafunzi simiyu afariki kwa kupigwa na mwalimu. waziri wa elimu lifanyien kazi hiili hii shule wanasema ni mara ya tatu mtoto kufariki

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mwanafunzi MMOJA amefatriki SIMIYU kwa KUPIGWA na MWALIMU kisa kuchelewa kupeleka hmwk

Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule

Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka

Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea

MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA homework

AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10

HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi

BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu

Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo

BAADA ya kufanyiwa vipimo ilionyeshaa mtoto amevuja damu nyingi KICHWANI kwa kuanyagwa KICHWANI na mwl husika

HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa

Waziri WA ELIMU huyu fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalah
 
Mwanafunzi MMOJA amefatriki SIMIYU kwa KUPIGWA na MWALIMU kisa kuchelewa kupeleka hmwk

Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule

Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka

Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea

MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA hmwk

AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10
HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi

BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu

Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo

HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa

Waziri WA ELIMU huyu MBWA fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalah
Nako kayumba kuna m23 Nyingi sana!
 
Haya mambo ndio yanafanya tunapinga adhabuu shuleni

Unakuta mwl kanyimwa unyumba na MWENZA wake anaishia kumalizia maumivu yake kwa wanafunzi n shida sana sanaaaa

Inasikitisha sana sana sijui tunaelekea wapi alafu unaambiwa hio shule wameshazika wanafunzi watatu sasa kisa mwl na adhabu zaooo

Ee Mungu TUSAIDIE sisi tuliochelewa kuzaa na watotoo wako shulen

Dah

POLEN WAZAZI....
 
Haya mambo ndio yanafanya tunapinga adhabuu shuleni

Unakuta mwl kanyimwa unyumba na MWENZA wake anaishia kumalizia maumivu yake kwa wanafunzi n shida sana sanaaaa

Inasikitisha sana sana sijui tunaelekea wapi alafu unaambiwa hio shule wameshazika wanafunzi watatu sasa kisa mwl na adhabu zaooo

Ee Mungu TUSAIDIE sisi tuliochelewa kuzaa na watotoo wako shulen

Dah

POLEN WAZAZI....
Mungu ni Mwema,wataacha tuu.
 
Sawa lakin isiwe propaganda au sababu ya kutowapa waalimu tarajali Haki ya ajira. Watoto wa mikoa ya pembezoni haswa huko usukumani Wana Haki ya kupelekewa walimu wa kuwaondolea ujinga na kuwafingulia Dunia ya elimu.
 
Kuna wajinga huwa wananguvu sana,viboko 6 kumi unavipigaje vyote hvyo,kwanza kwa mshahara upi huo ambao unakupa nguvu za kufatilia nani hajafanya hmwk

To yeye
 
Haya mambo ndio yanafanya tunapinga adhabuu shuleni

Unakuta mwl kanyimwa unyumba na MWENZA wake anaishia kumalizia maumivu yake kwa wanafunzi n shida sana sanaaaa

Inasikitisha sana sana sijui tunaelekea wapi alafu unaambiwa hio shule wameshazika wanafunzi watatu sasa kisa mwl na adhabu zaooo

Ee Mungu TUSAIDIE sisi tuliochelewa kuzaa na watotoo wako shulen

Dah

POLEN WAZAZI....
Kila siku huwa tunapinga adhabu ya viboko shuleni lakini kuna mijitu huwa inasema mtoto hafundishiki bila kiboko. Hii mijitu ilikuliwa kwenye familia za kupiga watoto kama punda ni shida. Juzi kuna yule wa madrasa alipelekwa mahakamani na kuna wajinga waliokuwa wanamtetea.
 
Mwanafunzi MMOJA amefatriki SIMIYU kwa KUPIGWA na MWALIMU kisa kuchelewa kupeleka hmwk

Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule

Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka

Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea

MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA homework

AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10

HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi

BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu

Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo

HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa

Waziri WA ELIMU huyu fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalah
mshamba_hachekwi em nitagie penseli plz
 
Kuna wajinga huwa wananguvu sana,viboko 6 kumi unavipigaje vyote hvyo,kwanza kwa mshahara upi huo ambao unakupa nguvu za kufatilia nani hajafanya hmwk

To yeye
Baba tulikuwa tunapigwa fimbo 30 miaka hiyo mpaka Tako linakauka kwa kukosa mzunguko wa damu!

Ila Huyu wa kupigwa Sita huenda alikuwa na ugonjwa
 
Nako kayumba kuna m23 Nyingi sana!
Aisee kakaaa Hawa n M 24
Dah
Sio kwa mateso haya mwambaaa

Aisee m niliiwahi mfukuza mwl shuleni shule Moja private njia ya goba

Na uwezi amini niliibua mengi Sana kwenye hio shule kumbe walikuwa kama walimu watatu michezo yaooo

Ni mtoto amerudi shule analia mwili mwekundu wotee aiseee nikasema nn analia tu bembeleza nunua chips Kuku wapii .mmh nkambeba mpaka hospt

Nkamwomba dk mwangalie ana shida gani analia tu nkatoka Nje kama baba mtoto Yuko la saba

Dk akanitaaa akasikitika aisee sijui nisemeje MWANAO wamemchapaa usiogope wewe n baba akanyanyua nguoo aisee makalio yamepita mistari nyekundu kama anapiga ramli

Aikutosha akasema angalia mkononi nkapiga picha alipoumiaaaaaaaaa

Nkamuliza hasira zimepungua akasema mwl flan amenipigia.....

Asbh saatatu nkambeba polisi wawili kwenye gari nkamwelezea mkuu WA kituo akamwangalia mwanangu akasema mlete tumshugulikie shule iKIWAZA adhabu yake

Nkaenda kwa mwl WA NIDHAMU
Nkamwelezea akamwangalia mtoto
NKAMWAMBIA mwl na Rb hii hapa anahitajika polisi tukiendelea na mengineyo...mwl AKATOA chozi na mtoto wangu very bright YAAN anawanyoosha Toka la kwanza

Mwl akataka tusubiri hdmaster aje amweleze nkaita polisi WAKAINGIA mpaka kwa mwl WA NIDHAMU piga pingu yule mwl...kituon

Alichokutana hatokaa adhabu milele hakuna spoke waliiacha kuigongaa

Hdmaster akapiga nakuja mko sehemu gani nkamwelezea....akafika akamwangalia mwanangu best wake sana akifaulu anampa zawadi...akamwangalia AKATOA chozi

Nikaongea nae NKAMWAMBIA mkuu huyu mwl shulen mm kama mm aondokee ngoja kama anaweza kutembea wakuitite uongee nae wewe eeee aliweza??

Hdmaster akaenda akamhoji na polisi pembeni nkampeleka mwanangu SEHEMU ya beach akacheza nkamrudisha nyumbani

Keshoyake NKAMWAMBIA twende znz nikaomba mwl mkuu atarudi jtatu ijayooo

Asbh jtatu Niko kwa mwl mkuu AKAOMBA radhi kwa BARUA akasema jamaa mpaka sasa Yuko hospt miguu inamuuma anatembea kwa shida sana

NKAMWAMBIA no p m huyu ondoen shulen atatuulia wanafunzi

Muwe mnaongea na wanafunzi watoto WENU wengine wanapigiwa sana wanaambiwa wakaee kimyaa wakiongea wanalambwa zaidi
 
Mwanafunzi MMOJA amefatriki SIMIYU kwa KUPIGWA na MWALIMU kisa kuchelewa kupeleka hmwk

Akiongea kwa huzuni mama MZAZI WA marehemu amesema mwanae alienda shule

Alipofika ghafla akapigiwa simu na mwl mkuu mtoto amepata shida akamuuliza shida gan akamwomba aje shule mtoto amedondoka

Akamwomba kaka yake waende nae alipofika akakuta shule nzima wanafunzi wanalia akaogopa kysogea

MJombanmtu akamwona mwl mkuu akamweleza mtoto amefatriki kuna mwl kaha na kisiran AKAINGIA darasan akapiga watoto 14 kwa KUSHINDWA KUMALIXA homework

AKASEMA wakiume walipgwa fimbo 6
Wanawake 10

HAPO usiniulixe tofauti imetokea wapi

BAADA ya mda mwanaoo akadondoka akaanza kutoa povu

Wakati anajiandaa kutaka kukimbia wanafunzi wanakimbilia mlango wakamfunga wakipiga kelelee ndipo wakajaza walimu kadhaa na mwl mkuu na ndio wakakuta hali halisi iliyopo

HAKIKA tutaonja mauti kila mtu lakini sio kwa maumivu hayaaa

Waziri WA ELIMU huyu fwatilieni wengi wanakuja kutoka sijui wanatumia RUSHWA amalahSub
Subiria walimu wa JF waje kumtetea mwalimu mwenzao,
JF asilimia tisini(90%} ni walimu!wao kila uovu wa walimu watakuambia kasingiziwa!
 
Baba tulikuwa tunapigwa fimbo 30 miaka hiyo mpaka Tako linakauka kwa kukosa mzunguko wa damu!

Ila Huyu wa kupigwa Sita huenda alikuwa na ugonjwa
Yaan mambo ya kisayans lakin unapigwa wew,nazan walimu wote mpaka leo unawachukia balaa
 
Baba tulikuwa tunapigwa fimbo 30 miaka hiyo mpaka Tako linakauka kwa kukosa mzunguko wa damu!

Ila Huyu wa kupigwa Sita huenda alikuwa na ugonjwa
Alirkufa kapigwa kumii mpwaa
 
Baba tulikuwa tunapigwa fimbo 30 miaka hiyo mpaka Tako linakauka kwa kukosa mzunguko wa damu!

Ila Huyu wa kupigwa Sita huenda alikuwa na ugonjwa
Na ushirikina unapitia humohumo simiyu syo pa polepole kunashule ipo sehem panaitwa luguru walim kulala nje nikawaida
 
Hivi ni kweli watu kama Billgate, Elon Musk, Donald Trump walifanikiwa kwa kuzabuliwa kwa fimbo au ni africa tu. Shït hole continent!
 
Na ushirikina unapitia humohumo simiyu syo pa polepole kunashule ipo sehem panaitwa luguru walim kulala nje nikawaida
Nimekaa somanda mkuu Yani kipindi hicho nikilala tu sasita mchana especially nikiwa nimelala chali naota nadinyana na mwanamke hadi napiz Sasa najiuliza hizo friction zilitoka wapi
 
Back
Top Bottom