Mwanafunzi simiyu afariki kwa kupigwa na mwalimu. waziri wa elimu lifanyien kazi hiili hii shule wanasema ni mara ya tatu mtoto kufariki

Mwanafunzi simiyu afariki kwa kupigwa na mwalimu. waziri wa elimu lifanyien kazi hiili hii shule wanasema ni mara ya tatu mtoto kufariki

Yaani nikiangalia kila siku taarifa ya habari walimu wanavyoliaaa mishaharaaa yaooo sijui malipoyaoi na wamejaaza fomu zotee kisa mouuzi MMOJA anazuia aiseeeee kupeleka mtoto serikalini kuna hitaji moyo sana

Wale walimu WANAINGIA DARASANI na mambo mengi kichwan YAAN mengi ila hayawaruhusuuu kumuua mtoto huu n ushenzii
LIKUD
 
Back
Top Bottom