Yaani nikiangalia kila siku taarifa ya habari walimu wanavyoliaaa mishaharaaa yaooo sijui malipoyaoi na wamejaaza fomu zotee kisa mouuzi MMOJA anazuia aiseeeee kupeleka mtoto serikalini kuna hitaji moyo sana
Wale walimu WANAINGIA DARASANI na mambo mengi kichwan YAAN mengi ila hayawaruhusuuu kumuua mtoto huu n ushenzii