HakikaMwanafunzi wa miaka 14 mwenye asili ya Ethiopia anayeishi USA, ameshinda tuzo na kuwagaragaza wana sayansi wengi wa vyuo vikuu nchini Marekani kwa kuvumbua sabuni yenye gharam ya senti 0.50 inayoweza kuzuia ugonjwa wa saratani ya ngozi.
US student, 14, wins award for developing soap to treat skin cancer
Heman Bekele was inspired by Ethiopian workers laboring under the sun, and wanted to help ‘as many people as possible’www.theguardian.com
View attachment 2799043
Hiyo ngono yenyewe tuna utaalamu nayo upi? Hata kujikinga na magonjwa ya ngono ni changamoto! Upuuzi mtupu!Wabongo hatuelewi hizi mada, em leta mada za ngono bwana
Apewe maua yake!
Mama Samia ameifungua Afrika, angalau katuwezesha kuwazidi wazungu.Mwanafunzi wa miaka 14 mwenye asili ya Ethiopia anayeishi USA, ameshinda tuzo na kuwagaragaza wana sayansi wengi wa vyuo vikuu nchini Marekani kwa kuvumbua sabuni yenye gharam ya senti 0.50 inayoweza kuzuia ugonjwa wa saratani ya ngozi.
US student, 14, wins award for developing soap to treat skin cancer
Heman Bekele was inspired by Ethiopian workers laboring under the sun, and wanted to help ‘as many people as possible’www.theguardian.com
View attachment 2799043
Tuna utalaamu wa kula tunda kimasihara, jinsi ya kukaa kifuani mda mrefu na mbinu za kumtongoza mkebwa mtuHiyo ngono yenyewe tuna utaalamu nayo upi? Hata kujikinga na magonjwa ya ngono ni changamoto! Upuuzi mtupu!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Ngashangaa meku!Mama Samia ameifungua Afrika, angalau katuwezesha kuwazidi wazungu.
CCM Oyeee Makonda juu zaidi.