crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Mwanafunzi Eli Kipruto 22 wa Jomo Kenyatta University Kenya kajishindia ksh 200M(karibu bilioni 4 za kitanzania) baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 kwenye kampuni ya betika.
Pamoja na ushindi huo akihojiwa kijana huyo amesema anataka amalize shule na hana mpango wa kuoa.
Chanzo: NTV Kenya
===
Eli Kipruto (22) mwanafunzi wa IT, Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT) amekuwa mshindi wa kitita hicho baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 na alitumia KES 49 ambayo ni sawa na TZS 927.
Kijana huyo amekuwa akibashiri kwa miaka mingi bila mafanikio lakini sasa ameingia kwenye orodha ya mamilionea wa Kenya. Amepanga kuwajengea nyumba wazazi wake na kuendelea na elimu ya chuo, huku akisema hana mpango wa kuoa.
Pamoja na ushindi huo akihojiwa kijana huyo amesema anataka amalize shule na hana mpango wa kuoa.
Chanzo: NTV Kenya
===
Eli Kipruto (22) mwanafunzi wa IT, Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT) amekuwa mshindi wa kitita hicho baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 na alitumia KES 49 ambayo ni sawa na TZS 927.
Kijana huyo amekuwa akibashiri kwa miaka mingi bila mafanikio lakini sasa ameingia kwenye orodha ya mamilionea wa Kenya. Amepanga kuwajengea nyumba wazazi wake na kuendelea na elimu ya chuo, huku akisema hana mpango wa kuoa.