Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
[emoji16][emoji16][emoji16]eti mfuti kukuHaramu?!anaweza kuzifanyia halal akapata thwawab kuliko muft kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]eti mfuti kukuHaramu?!anaweza kuzifanyia halal akapata thwawab kuliko muft kuku
Tena hana afya ya akiliHakika wewe ni kijana wa HOVYO
Kaibiwa Nani?Hela za haramu hizo
Binti wa siku hizi wanachotaka ni hicho alichoshinda, sio ndoa.Madem washaambiwa, jamaa hana mpango wa kuoa.
Ova
Hiyo hiyo haramu baadaye mnamfuata na karatasi ya kuomba kuchangia ujenzi wa musikiti, kituo cha yatima au kanisa!.Hela za haramu hizo
Huo ndio ukweli.Hiyo hiyo haramu baadaye mnamfuata na karatasi ya kuomba kuchangia ujenzi wa musikiti, kituo cha yatima au kanisa!.
Tuache unafiki kupitia hizo dini zenu, nitajie mfanyabiashara yeyote mkubwa anayefanya biashara isiyo haramu!.
Wameibiwa walio kuwa wana weka hela zao na mkeka una chanikaKaibiwa Nani?
🤣🤣Haramu?!anaweza kuzifanyia halal akapata thwawab kuliko muft kuku
Kwanini usifikirie vitu vingine vya uwekezaji lakini wewe unafikiria ngono tu ,,unadhani kila mtu ni mvivu wakufikiria kama wewe..Ila huyu mwamba lazima MB** ichubuke maana n mwend wa kuloweka
Hakuna hela ya haramu duniani. Diamond anaimba muziki na wanawake wakiwa nusu uchi na amewajengea msikiti na mnaenda kuswali.Hela za haramu hizo
Wakenya kwa kimbelembele, kila kitu wanataka wao waongoze!Mwanafunzi Eli Kipruto 22 wa Jomo Kenyatta University Kenya kajishindia ksh 200M(karibu bilioni 4 za kitanzania) baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 kwenye kampuni ya betika.
Pamoja na ushindi huo akihojiwa kijana huyo amesema anataka amalize shule na hana mpango wa kuoa.
Chanzo: NTV Kenya
So??Hakuna hela ya haramu duniani. Diamond anaimba muziki na wanawake wakiwa nusu uchi na amewajengea msikiti na mnaenda kuswali.
Pesa ni pesa tu.
Picha ya huyo mwanafunz plsMwanafunzi Eli Kipruto 22 wa Jomo Kenyatta University Kenya kajishindia ksh 200M(karibu bilioni 4 za kitanzania) baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 kwenye kampuni ya betika.
Pamoja na ushindi huo akihojiwa kijana huyo amesema anataka amalize shule na hana mpango wa kuoa.
Chanzo: NTV Kenya
Mungu who..? kupitia kamali!!Naona vibinti vinavojipitisha wakiamini mume kashushwa na Mungu ndio huyo