Mwanafunzi wa chuo ajishindia Tsh bilioni 4 kwa kubeti kwa usahihi mechi 17

Mwanafunzi wa chuo ajishindia Tsh bilioni 4 kwa kubeti kwa usahihi mechi 17

Kubet noma sanaaa leo sijui nimpe tena kanji helaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hela za haramu hizo
Hiyo hiyo haramu baadaye mnamfuata na karatasi ya kuomba kuchangia ujenzi wa musikiti, kituo cha yatima au kanisa!.

Tuache unafiki kupitia hizo dini zenu, nitajie mfanyabiashara yeyote mkubwa anayeswali au kusali anayefanya biashara isiyo haramu!.
 
Hiyo hiyo haramu baadaye mnamfuata na karatasi ya kuomba kuchangia ujenzi wa musikiti, kituo cha yatima au kanisa!.

Tuache unafiki kupitia hizo dini zenu, nitajie mfanyabiashara yeyote mkubwa anayefanya biashara isiyo haramu!.
Huo ndio ukweli.
Hata kama utabisha
 
Mwanafunzi Eli Kipruto 22 wa Jomo Kenyatta University Kenya kajishindia ksh 200M(karibu bilioni 4 za kitanzania) baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 kwenye kampuni ya betika.

Pamoja na ushindi huo akihojiwa kijana huyo amesema anataka amalize shule na hana mpango wa kuoa.

Chanzo: NTV Kenya
Wakenya kwa kimbelembele, kila kitu wanataka wao waongoze!
 
Hii ni hamasa kubwa kwa wazee wa kubet haha.
 
Mwanafunzi Eli Kipruto 22 wa Jomo Kenyatta University Kenya kajishindia ksh 200M(karibu bilioni 4 za kitanzania) baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 17 kwenye kampuni ya betika.

Pamoja na ushindi huo akihojiwa kijana huyo amesema anataka amalize shule na hana mpango wa kuoa.

Chanzo: NTV Kenya
Picha ya huyo mwanafunz pls
 
Anaongea tu hivi viumbe vina ushawishi na hakuna mwanaume anaweza vumilia ushawishi wao
 
Back
Top Bottom