Microsoft office ipo vema kwa Ajili ya kuandalia document filesKama wewe ni Mwanafunzi wa chuo chochote nchini Tanzania, basi naomba tushare Application kabambe unayotumia katika kufanya kazi zako na inakurahisishia kiutendaji kazi.. mfano Assignments, Research na mambo mbalimbali...
Maana kwa Sasa kimekuwa na App nyingi ambazo mwanafunzi anaweza kuingiza swali tu na kuletewa mazagazaga yote..
Haya hebu tusanuane hapa jamani maana huu wakati wa utandawazi sio wakati wa kuteseka tena na almost vitu vyote tunavyofanya/kusoma Sasa watu washafanya/kusoma miaka 50 iliyopita.. So hamna kipya Sasa.
Hivyo weka jina la Application yako hapa unayoikuli na Iko Rahisi kiutendaji
Inaitwa ( Aks ai )Kama wewe ni Mwanafunzi wa chuo chochote nchini Tanzania, basi naomba tushare Application kabambe unayotumia katika kufanya kazi zako na inakurahisishia kiutendaji kazi.. mfano Assignments, Research na mambo mbalimbali...
Maana kwa Sasa kumekuwa na App nyingi ambazo mwanafunzi anaweza kuingiza swali tu na kuletewa mazagazaga yote.
Haya hebu tusanuane hapa jamani maana huu wakati wa utandawazi sio wakati wa kuteseka tena na almost vitu vyote tunavyovifanya/kusoma sasa watu washavifanya/kusoma miaka 50 iliyopita.. So hamna kipya Sasa.
Hivyo weka jina la Application yako hapa unayoikubali na Iko Rahisi kiutendaji
Inaitwa ( Aks ai )
Ni kiboko we download hiyo watakua wanakuona unaelea2 kwenye assignment we kazi yako ni kufanya modification ya maneno tena ikibidi ata hiyo modification unaiomba ukufanyie[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] bad luck nimeijua MWEZI uliopita na nipo mwaka wa tatu wa mwisho af kumbe kua wahuni wachache2 walikua nayo na wapo kimya ad nimekuja kustuliwa na LEMUBEBEZ majuzi
Naomba niishie hapo
Ask AIInaitwaje hasa
Mkuu, hii App ipo kweli playstore..?Inaitwa ( Aks ai )
Ni kiboko we download hiyo watakua wanakuona unaelea2 kwenye assignment we kazi yako ni kufanya modification ya maneno tena ikibidi ata hiyo modification unaiomba ukufanyie[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] bad luck nimeijua MWEZI uliopita na nipo mwaka wa tatu wa mwisho af kumbe kua wahuni wachache2 walikua nayo na wapo kimya ad nimekuja kustuliwa na LEMUBEBEZ majuzi
Naomba niishie hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ya vitu hivi, unaweza ukawa na vitu sahihi ila visikuletee majibu sahihi, ila si kwamba sio sahihi
Pumba in, pumba out! Tulisha ingia kwenye mitihani na 4figure na scientific calculator lakini wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani hata wakikuruhusu kuingia na simu napo unaweza usitoboe
Swali unalo ulizwa unalielewa!!? Hapo ndio mtihani ulipo