DOKEZO Mwanafunzi wa darasa la 6 adaiwa kubakwa na watu watatu; abeba mimba. Polisi wadaiwa kuhaha kuficha ukweli

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mpka hapo hujaficha kitu mtoa mada mtoto nadhan anaitwa Halima juma athuman na matokeo yake ya darasa la nne yalikuwa Vzuri tu na anaonekana anajituma mamlaka husika lishughulikie hili

Ndoto ya binti isikatishwe na wapenda ngono mtoto wa darasa la 6 kweli mungu anisamehe tu.

Kwa akili yangu hii navoijua tunazaliwa mara moja na kufa ni mara moja ningefanya maamuz magumu dunia nzima ingeshangaa
 
Ati. Hata kama mapanga hayauzwi ningetengeneza langu. Mtt anauma mno. Mie mtt wangu wa kwanza Ana miaka 20 bado namuona mdogo kwa kuwa najua bado Ana ndoto zake anataka kuzifanikisha. Seuze mtt wa darasa la sita, si ajabu Ana miaka 12 au 13 anabebeshwa ujauzito hali ya kuwa yeye mwenyewe bado mtt na yupo kwenye malezi. Mungu Azidi kutusimamia na Awahufadhi wtt wote
 
Nakuunga mkono bro
 
Ukishakuwa mzazi inabidi upigane kufa na kupona Kwa ajili ya familia yako hata ukienda mbinguni huko mungu anajua kweli umepambania familia yako. Yan Familia yangu ndio Kila kitu fanya utani na mimi ila sio familia kufa Kwa ajili ya Familia yangu kawaida sioni cha kupoteza as long as nasimamia haki
 
Dah! Wazazi tunatakiwa kuwa karibu na watoto wetu, ili kuwakinga na ukatili wa aina hii. Maana hali siyo hali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…