Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Hio sio ukweli, Mungu hajawahi leta sahani. Sahani ni akili yenye Mungu alitupea tutumie akili kufanya family planning coz Africa tutakuwa masikini forever because of population explosion. Huyu mtoto mwenye ako na shida ya akili nani atamsaidia kulea huyo mtoto wake?Abortion ya nini? It's a sin. Mungu akileta mtoto analeta sahani yake