Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.

Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.


 
Hili jambo liangaliwe kwa jicho Pana na kuna haja ya Wizara mbali mbali Kuteam up ili kutengeneza muongozo wa namna nzuri nafasi za field zinawezwa kugawanywa kwa wanafunzi wanaohitaji, kuliko hili la kuachia watu wakajitafutie huu ndio Mwanzo wa matatizo haya
 
Hili jambo liangaliwe kwa jicho Pana na kuna haja ya Wizara mbali mbali Kuteam up ili kutengeneza muongozo wa namna nzuri nafasi za field zinawezwa kugawanywa kwa wanafunzi wanaohitaji, kuliko hili la kuachia watu wakajitafutie huu ndio Mwanzo wa matatizo haya
Hata ikiwa hivyo unadhani ndio itakomesha hiyo tabia?
 
Kuna mdau niliona kaandika kuhusu haya yanayosababisha, sasa nimeamini ni moja ya sababu kubwa.

Ila wenyewe pia mnapenda wazee.
yani we bado unatetea wazee sio,,wanatunyanyasa sana ingawa mimi sijawahi,ila nilinusurika mwaka 2019 uko arusha nilienda field 🤣🤣apo nna miaka 19 tu afu libaba nadhan lilikua kwenye arobaini naa.....
 
enhee, ndo mlisema hatuwaheshimu hatuwasalimii eeeh, sawa.
Kosa au tabia chafu ya watu wachache haiwezi kuharibu au kukufanya wewe usiheshimu wengine,
Yapo Mashangazi pia hua yanataka kupelekewa moto na vijana ili yapitishe mambo yao,
Hapo vp? vijana nao wasiwaheshimu kina Mama?

Dawa ya hii midingi isiyokua na akili na utu ni kuwekewa mtego tu,yakisha kamatika yatangazwe nchi nzima na picha zao na clip wakati wanakamatwa zisambazwe kila kona.
 
Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.
Huyu RC anajikanyagakanyaga kujibu swali la msingi ameulizwa "...inapotokea hivyo nikatoe taarifa wapi?"
 
Kosa au tabia chafu ya watu wachache haiwezi kuharibu au kukufanya wewe usiheshimu wengine,
Yapo Mashangazi pia hua yanataka kupelekewa moto na vijana ili yapitishe mambo yao,
Hapo vp? vijana nao wasiwaheshimu kina Mama?

Dawa ya hii midingi isiyokua na akili na utu ni kuwekewa mtego tu,yakisha kamatika yatangazwe nchi nzima na picha zao na clip wakati wanakamatwa zisambazwe kila kona.
wapo wanaowafurahia lakini,, kwahiyo swala la kukamatwa labda 40 yao iwe imefika
 
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.

Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.
#milardayoupdates.

Hakuna cha bure Kudadadeki. Unataka utoke Vua Chupi Watu waweke kisha ndiyo Ufikiriwe hutaki Kaa na Ujuzi wako Kwenu.
 
Back
Top Bottom