Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Inasikitisha Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mbona fair kabisa 😃. Ungeachia mchezo ulienjoy jiji la Arusha. Labda kama hakuwa na hela huyo ndo maana ukachomoa. Vinginevyo ungeliwa tu hata angekuwa 50 😁😁yani we bado unatetea wazee sio,,wanatunyanyasa sana ingawa mimi sijawahi,ila nilinusurika mwaka 2019 uko arusha nilienda field 🤣🤣apo nna miaka 19 tu afu libaba nadhan lilikua kwenye arobaini naa.....
😄😄Hakua na hela na ndo alikua anafata baada ya mkurugenzi, na nilkua nmepanga kwenye nyumba yake ingawa yeye hakua akiishi apo.Hapo mbona fair kabisa 😃. Ungeachia mchezo ulienjoy jiji la Arusha. Labda kama hakuwa na hela huyo ndo maana ukachomoa. Vinginevyo ungeliwa tu hata angekuwa 50 😁😁
Hawauzi miili, wanakodisha.Hilo mbona linawezekana sana, jiulize wanaouza miili yao inakuaje.
sawa mkuu wanakodisha kwa muda.Hawauzi miili, wanakodisha.
Aliyekuzaa alitoa nini hadi akapata?
Yeye ni mwenyewe malaya tu,mtu wa michepuko😂😂Huyu RC anajikanyagakanyaga kujibu swali la msingi ameulizwa "...inapotokea hivyo nikatoe taarifa wapi?"
Maelezo yake tu yannadhihirisha ni mhuniYeye ni mwenyewe malaya tu,mtu wa michepuko😂😂
Ushaonaeee.😊Wababu wa vyuo hawasemwi, wa field ndio nogwa what a bias.. Njaa zitawatokea puani nonsense.