Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Sometimes wao wenyewe ndo wanatu-offer hiyo rushwa ili tuwape kipaumbele. Hawataki kukaa kwenye foleni
 
Hakuna cha bure lakini kwanini iwe rushwa ya ngono?
K ulipewa kwa Kuinunua au Bure? Unailipia VAT kokote? Kwani ukiitoa kisha Watu tuweke hata Kimoko kisha tukusaidie utapungukiwa wapi? Toa tafadhali hakuna cha bure Afrika hii Kudadadeki. Na kwanini Leo GENTAMYCINE nimewageuka hivi ni kutokana na Kitendo unakuta Unamsaida Mdada bila,hata Ngono ( yaani Kibinadamu tu ) kisha akipata Kazi anaanza Kukudhaau na akipata Bwana Ofisini ambaye anakuzidi Cheo anaanza Kubanduliwa nae na Kukuletea Majungu. Kudadadeki na Mimi sasa naanza Kuwakaza bila Huruma na nasema Nitawakaza mno ndiyo niwasaidie potelea mbali na mtanisamehe tu kwa haya Maamuzi yangu Tukuka kwani nina Mifano hai ya nilichokiandika hapa.
 
Huenda naye anatabia hizo, mtu anayekerwa na jambo utamuona tu kwa macho, kesi amepelekewa yeye naye anaitupa kwa Matron, kwani huyo binti hakumuona au hamjui huyo Matron!?
Matroni mwenyewe nae huenda kapata hiyo Kazi au Cheo hicho kwa ajili ya Kukazwa hivyo ni kama mnapaka tu Rangi upepo.
 
unakuta Unamsaida Mdada bila,hata Ngono ( yaani Kibinadamu tu ) kisha akipata Kazi anaanza Kukudhaau na akipata Bwana Ofisini ambaye anakuzidi Cheo anaanza Kubanduliwa nae na Kukuletea Majungu
Ukimsaidia mtu msaidie bila matarajio ya kupata chochote, huo ndio msaada wa kweli.

Kuhusu hayo ya kudharauliwa kweli wanawake wana dharau sana ndio maana tumeambiwa tuishi nao kwa akili. Kama kuwadai ngono ni moja ya akili hizo basi sawa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…