Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Huenda naye anatabia hizo, mtu anayekerwa na jambo utamuona tu kwa macho, kesi amepelekewa yeye naye anaitupa kwa Matron, kwani huyo binti hakumuona au hamjui huyo Matron!?
Wanaume kwa 99% huwa tunafanana tabia, hawa viongozi wetu huko makao makuu wanaowajua vizuri ni hao mabinti wa vyuo.
 
Hakuna cha bure Kudadadeki. Unataka utoke Vua Chupi Watu waweke kisha ndiyo Ufikiriwe hutaki Kaa na Ujuzi wako Kwenu.
Kuna mtoto mmoja wa kigambonino anasumbua sana mahakama 😁 anataka nimtaftie kazi ila kila nikiangalia uwezekano naona sielewi basi nimemwambia nitamshtua maana dah kazi ngumu kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…