Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Hivi unawezaje kuwakwepa hawa millenials. Mimi wananizonga hadi nahisi wametumwa na mtu.extro unanidindisha
Mpe kazi achangie pato la taifa.Kuna mtoto mmoja wa kigambonino anasumbua sana mahakama π anataka nimtaftie kazi ila kila nikiangalia uwezekano naona sielewi basi nimemwambia nitamshtua maana dah kazi ngumu kweli.
mimi sasa najifarijiπila wabongo apo tayari unamajibu yako,,,ata siombwi jamani π«π«Unajifariji tu, huombwi hata namba?
Hajakosea, mabwawa tuwaachie tanesco wazalishe umeme πππππ Wtf ππππ
Yeye mwenyewe ni mdau wa kupaki kwenye viunga vya vyuoni after work hours.Huyu RC anajikanyagakanyaga kujibu swali la msingi ameulizwa "...inapotokea hivyo nikatoe taarifa wapi?"
Kumbe nawewe ni mmoja wa hao wazeeπ€£π€£ππΎππΎββοΈHajakosea, mabwawa tuwaachie tanesco wazalishe umeme π
Utachagua kazi au kumtunzia kipapa yule mfuga ndevu wako asiye na mbele wala nyuma πila hisia muhimu jamani,,ila pesa shkamoo
Walikufanyaje mkuu wazee wa humu?Alafu tuanze na wababu wa humu humu jf.
Kuna wazee hovyo sana humu hawaoni aibu kabisa.
Unakuta mtu anafamilia na watoto wakubwa tu.
Ila kutwa kuhangaika na vitoto vya 2000.
Mi akija ingia mti kwenye 18 haijalishi ni ugomvi wangu au laa ila atajua ajui
Hovyo kabisa.
Ukiwakuta ofisi unaweza kusema watu wa maana kumbe hovyo kabisa
Kwani ishu ni hisia au kumwaga protini?πIla Kuna watu wanazingua sana hivi unalalaje na demu ambaye Hana hisia na wewe kwa kumshindikiza
Ni hovyo sana mkuu kutwa kukimbizana na vitoto vya 2000.Walikufanyaje mkuu wazee wa humu?
Raisi wa wazee humu jf mzee wetu Grahams kuna malalamiko na kero kuhusu serikali yenu ya wazee. Nawasilisha.
π nacheka lakini naogopa na una miaka 24.mimi sasa najifarijiπila wabongo apo tayari unamajibu yako,,,ata siombwi jamani π«π«
πππapa unanitega mkuu,,sasa nimesanuka sijibu hii.Utachagua kazi au kumtunzia kipapa yule mfuga ndevu wako asiye na mbele wala nyuma π
πππapa unanitega mkuu,,sasa nimesanuka sijibu hii.Utachagua kazi au kumtunzia kipapa yule mfuga ndevu wako asiye na mbele wala nyuma π
Mkuu ndo nyie kumbeKwani ishu ni hisia au kumwaga protini?π
πππππ ila vijana huwa hawana baya wakipewa offer na mashangazi wapo tayari kutumikia kwa utiifu sana.Kosa au tabia chafu ya watu wachache haiwezi kuharibu au kukufanya wewe usiheshimu wengine,
Yapo Mashangazi pia hua yanataka kupelekewa moto na vijana ili yapitishe mambo yao,
Hapo vp? vijana nao wasiwaheshimu kina Mama?
Dawa ya hii midingi isiyokua na akili na utu ni kuwekewa mtego tu,yakisha kamatika yatangazwe nchi nzima na picha zao na clip wakati wanakamatwa zisambazwe kila kona.
ata najali sasa ππ mbona bado sana yani sana narudia tena sanaaaaaaaaaππππ nacheka lakini naogopa na una miaka 24.
2019 ulikuwa na 19+5=24
Dada tafuta mganguzi mzuri
Kabisa kaka,office yangu nimeijenga kwa miaka kitambo nikijua faida moja wapo ntakuwa na vuna mbususu za chuo na marup rup mengine alafu we papa moja unapiga kelele na huku wenzako wana achia utam kila wanapo taka field...Basi kwa mwambie huyo Charamile akupe field kwakeHakuna cha bure Kudadadeki. Unataka utoke Vua Chupi Watu waweke kisha ndiyo Ufikiriwe hutaki Kaa na Ujuzi wako Kwenu.
Ni hovyo sana mkuu, wazee wa jf waliangalie hili linawashushia heshima yao.Ni hovyo sana mkuu kutwa kukimbizana na vitoto vya 2000.
Hivi serious mtu una familia unaganya mambo kama hayo kama sio uzwazwa ni nini..?
Ni wachache sana ambao wanajiheshimu ila wengi wazee wa jf ni hovyo.
Mkuu sio mimi bwana ila najaribu kuwakilisha wakali wa hizi kazi. Unajua kuwa ngono ni starehe cheap kwa maskini kuliko hata ulevi? Na kuna namna kama 100 hivi za kupata hio starehe. Ofisini ni moja ya eneo tu watu wanachapana miti kirahisi.Mkuu ndo nyie kumbe