Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6, kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6, kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

Edmundjoh

New Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
1
Reaction score
0
Habari wanajukwaa!

Mwalimu mmoja anaefundisha Jangwani girls, amenifata kuniomba nimshauri kitu!

Kuna mwanafunzi kamfata leo ,kanambia Ana tatizo ,kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge,

Ila mwl.kagoma na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya.

Ndio kanifata Mimi kuniomba ushauri, afanyeje?

Nami nalileta kwenu!
 
Kidato cha sita ni mtu mzima, aende nyumbani akajifungue na wala asitoe hyo mimba, hakuna mashtaka kwa msababisha mimba wala mbeba mimba
 
Kama mwanafunzi alibakwa,, means it was not for her will,, nenda pharmacy kanunue dawa inaitwa misoprostol. Aweke mbili chini ya ulimi zitayeyuka polepole halafu nyingine mbili aingize ukeni ndani kabisa.

Halafu asubiri matokeo
NB; muda mzuri wa kunywa ni jioni wakati wa kulala.


Ikifeli uje uniite mbwa nimekaa paleee.
 
Azae tuu kwani alivyokua anaikatikia alimuomba nani ushauri, atulie tuu akisha zaa atarudi shule asiwe na wasi
 
Ni mtu mzima, mimba ni ya kwanza, ni zawadi asitoe, aitunze mpaka mama kijacho kikamilike. Shule baadae!!
 
Kama mwanafunzi alibakwa,, means it was not for her will,, nenda pharmacy kanunue dawa inaitwa misoprostol. Aweke mbili chini ya ulimi zitayeyuka polepole halafu nyingine mbili aingize ukeni ndani kabisa.

Halafu asubiri matokeo
NB; muda mzuri wa kunywa ni jioni wakati wa kulala.


Ikifeli uje uniite mbwa nimekaa paleee.
Sio mpaka ifeli! Tayari wewe ni mbwa!!
 
Si wameambiwa wasome tu. Shida nini sasa?
 
Kama mwanafunzi alibakwa,, means it was not for her will,, nenda pharmacy kanunue dawa inaitwa misoprostol. Aweke mbili chini ya ulimi zitayeyuka polepole halafu nyingine mbili aingize ukeni ndani kabisa.

Halafu asubiri matokeo
NB; muda mzuri wa kunywa ni jioni wakati wa kulala.


Ikifeli uje uniite mbwa nimekaa paleee.
Pundugu same boys
 
Ua unapendelea kula nn il ukiwa magereza tue wadau tunakukumbuka hata kwa wali samaki
 
Back
Top Bottom