Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6 kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6 kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

Khadija Mtalame

Senior Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
185
Reaction score
715
[Habari wanajukwaa!

Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu!

Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge.

Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya.

Ndio kanifata Mimi kuniomba ushauri, afanyeje?

N
 
[Habari wanajukwaa!

Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu!

Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge.

Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya.

Ndio kanifata Mimi kuniomba ushauri, afanyeje?

N
Siku hizi wanazaa na wanapata nafasi ya kusoma na wanao

USSR
 
Ndugu mtoa mada nakuomba hiyo mimba usitoe, zaa tuu mana huwezi kujua kusudi la Mungu unaweza kukuta atakuja kuwa Samia/Magufuli ajaye
 
Huyo mwalimu ajiandae miaka 30 jela kwa kuumpa mwanafunzi mimba...
 
Mimba ya nani? Kama ya ticha basi apotee tu. Hakuna namna. Unakulaje dent bila zana
 
[Habari wanajukwaa!

Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu!

Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge.

Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya.

Ndio kanifata Mimi kuniomba ushauri, afanyeje?

N
Screenshot_20221002-152600.png
Km mwanafunzi ndio huyu mwambie aendelee kulea mimba tu, kulea mimba sio dhambi kitanda hakizai haramu
 
Back
Top Bottom