The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Hamza Salum ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya amebuni mfumo wa kulinda mitihani ambao unatajwa kuleta tija katika kukabiliana na wizi na uvujishaji wa mitihani nchini.
Chanzo: Azam TV
Chanzo: Azam TV