Mwanafunzi wa MUST abuni mfumo wa kudhibiti wizi wa mitihani

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Hamza Salum ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya amebuni mfumo wa kulinda mitihani ambao unatajwa kuleta tija katika kukabiliana na wizi na uvujishaji wa mitihani nchini.
Your browser is not able to display this video.

Chanzo: Azam TV
 
. Labda amebuni UBABAIFU 🤔🤔🤔.

. Waandishi wa habari nao ni choka mbaya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…