Output umeipimia wapi?
Toa takwimu hapa au unahisi tu na ubongo wako wa kivivu?
Nani kakwambia ni mambo mengi?
Uki-compare na nini?
Wewe umetumia kipimo gani kujua ni mambo "mengi" na sio machache au wastani?
Takwimu za kukombolewa au kutokombolewa wewe umezipata wapi?
Maana nadhani unashindwa kuelewa madaktari wanaokutibu hospitali leo wamesoma hayo mambo mengi,ma-engineer wanaojenga hizo skyscappers na madaraja na barabara ndio hao hao waliosoma mambo mengi,maprofessors wanaofundisha wanao vyuoni ni hao hao walisoma mambo mengi,etc
Wewe ulitaka jinga kama wewe lisilojua chochote ndio likatibu hospitali?
Hujui lugha,hujui kuandika kwa ufasaha,wewe ni doctor utaweza waandikia wagonjwa dawa kwa usahihi?Au ndio unataka kuua watu?
Ni kosa la kua na uchumi mdogo na ukosefu wa serikali imara yenye kufanya kazi
Udhaifu wa serikali ndio ufanye elimu ichakachuliwe iwe nyepesi kukidhi upumbavu wa umasikini ulionao?
Hoja za kimaandazi sana hizi
Eti sababu mtoto hali shule,hakuna madawati,etc basi tupunguze masomo yawe mepesi kufidia umasikini huu,hiyo itakua elimu au group la manyani limekaa kusoma vitabu visivyo na maana?
Naona unachanganya issue mbili tofauti hapa
Umasikini na udhaifu wa kimaendeleo wa serikali na nchi yako na standard za elimu kama elimu...
Wewe unakuja na hoja za kipumbavu eti masomo yapunguzwe,hoja ulizonazo eti kwavile sisi masikini,kwahiyo upunguze elimu kufata umasikini wako chini?
Mwenye matatizo na medulla yake ni wewe hapo
Kwanza hujui kupangilia paragraph na kutofautisha hoja za kiuandishi kwa mafungu
Insha ulifundishwa wapi?Proof writting ulifundishwa wapi?
Halafu upo hapa kusema Kiswahili kifutwe,Historia ifutwe,nk?
Unafuta Kiswahili kama lugha,wewe una maarifa,utawezaje kuyaandika kwenye kitabu ili kizazi kifuatacho kifaidike kama hujui kuandika kwa usahihi na kupangilia mawazo yako na topics kwenye kitabu kwa usahihi na kwa lugha fasaha na sanifu?
Wewe ni engineer ila hujui yote hayo,utashindwa andika vitabu kuweka maarifa yako mle kwa ajili ya kizazi kijacho sababu tu hujui Wrting Skills,halafu upo hapa unasema yote haya yafutwe?
Tanzania ina mitoto mijinga mno,na wewe ni limoja lao,shule inakushinda unataka sukumizia ujinga wako kwa wengine wasiohusika na your own weaknesses
Wewe ni mvivu,hutaki juhudi,wewe feli ukaoshe vyoo,wenye juhudi ya kupata maarifa waje wakuongoze,na hoja yako ya kufuta eliu bad can never be