Mwanafunzi wa shule za kata aliyeingia kwa wastani wa "C" kidato cha kwanza anaweza kuhamishiwa shule za bweni kitaifa?

Mwanafunzi wa shule za kata aliyeingia kwa wastani wa "C" kidato cha kwanza anaweza kuhamishiwa shule za bweni kitaifa?

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Kuna watu wanajeuri sijui ya fedha? Mtoto wake mwaka jana alifaulu kwa wastani wa "C" kapelekwa shule ya kata kama wanafunzi wengine wote. Pamoja na kwamba hizi shule za kata kuna wanafunzi waliingia kwa wastani wa "A". Sasa huyu jamaa anamuhamishia kidato cha pili shule za bweni kitaifa inawezekanaje?
 
Kuna watu wanajeuri sijui ya fedha? Mtoto wake mwaka jana alifaulu kwa wastani wa "C" kapelekwa shule ya kata kama wanafunzi wengine wote. Pamoja na kwamba hizi shule za kata kuna wanafunzi waliingia kwa wastani wa "A". Sasa huyu jamaa anamuhamishia kidato cha pili shule za bweni kitaifa inawezekanaje?
Mhii tafuta hela uache kuchunguza maisha ya watu
 
Kuna watu wanajeuri sijui ya fedha? Mtoto wake mwaka jana alifaulu kwa wastani wa "C" kapelekwa shule ya kata kama wanafunzi wengine wote. Pamoja na kwamba hizi shule za kata kuna wanafunzi waliingia kwa wastani wa "A". Sasa huyu jamaa anamuhamishia kidato cha pili shule za bweni kitaifa inawezekanaje?
Inawezekana, punguza roho mbaya kijana.
 
Kuna watu wanajeuri sijui ya fedha? Mtoto wake mwaka jana alifaulu kwa wastani wa "C" kapelekwa shule ya kata kama wanafunzi wengine wote. Pamoja na kwamba hizi shule za kata kuna wanafunzi waliingia kwa wastani wa "A". Sasa huyu jamaa anamuhamishia kidato cha pili shule za bweni kitaifa inawezekanaje?
Inawezekana tu kama nafasi ipo, lakini pia kupata C si kigezo cha kushindwa kusoma Bweni.
 
Inawezekana tu kama nafasi ipo, lakini pia kupata C si kigezo cha kushindwa kusoma Bweni.
Hiyo nafasi unajua wengi wameikosa kwa machozi? Mwaka huo husika wengi waliikosa kwa kupata wastani wa "A" alafu unavizia kudandia meli njiani?
 
Tusibeze, kuna hoja. Tukisema mleta Uzi ana wivu, tafsiri yake ni kwamba ukiwa na uwezo wa kuhonga, basi wewe honga tu. Kumbuka zile ni shule zenye mpango maalum, kama kuna mtu ameenda kinyume na utaratibu basi huenda hiyo ikahusishwa na rushwa. Je, turuhusu rushwa ili tusionekane tuna wivu?
 
Labda wewe ndo masikini! Rudi soma uzi ndo utaelewa! Shule za bweni za private zipo! Hizi ni shule za umma ambazo zina vigezo!
Sio kila anaeenda anakua na vigezo,.
Halafu hela nayo ni kigezo au hujui?,.

Kwamba huyo mtoto akienda kwa vile ana C atashindwa kupata A NECTA??,.

Nyie ndio wale mliokua mkiona wenzenu wana... Kwanza nimechoka kuandika

Uko sahihi mkuu unachokiwaza ni sawa kabisa🤝
 
Tusibeze, kuna hoja. Tukisema mleta Uzi ana wivu, tafsiri yake ni kwamba ukiwa na uwezo wa kuhonga, basi wewe honga tu. Kumbuka zile ni shule zenye mpango maalum, kama kuna mtu ameenda kinyume na utaratibu basi huenda hiyo ikahusishwa na rushwa. Je, turuhusu rushwa ili tusionekane tuna wivu?
Yaani watanzania wanapenda maisha ya ujanjaujanja! Ukiwa kazini ukaiba na kununua gari na kujenga nyumba watakushangilia kuwa wewe ndo mwenye akili! Huu ni wizi na utapeli kama wezi na matapeli wengine!
 
Aya maisha ya kanjanja ndo yanaturudisha nyuma kama taifa! Kama kuna forgery katika elimu ya msingi na sekondari, vipi katika ngazi za juu za ajira?
Angekua mtoto amefeli kabisa ana F au vitu zingine huko ningekubaliana na wewe,.
Kama mzazi ana nafasi kwanini asipeleke mwanae shule nzuri?
 
Sio kila anaeenda anakua na vigezo,.
Halafu hela nayo ni kigezo au hujui?,.

Kwamba huyo mtoto akienda kwa vile ana C atashindwa kupata A NECTA??,.

Nyie ndio wale mliokua mkiona wenzenu wana... Kwanza nimechoka kuandika

Uko sahihi mkuu unachokiwaza ni sawa kabisa🤝
Kwanza huyo mkuu wa shule aliyempokea, kampokea kwa rushwa! Mfumo unaonyesha wazi kuwa alipata "C" na kupelekwa shule anazostahili. Hata hiyo shule ya kata anayoikimbia kuna waliopelekwa hapo kwa wastani wa "A" na "B"! Kwanini hao walinyimwa hiyo fursa alafu wewe unaenda kuingia kwa rushwa kidato cha pili?
 
Kwanza huyo mkuu wa shule aliyempokea, kampokea kwa rushwa! Mfumo unaonyesha wazi kuwa alipata "C" na kupelekwa shule anazostahili. Hata hiyo shule ya kata anayoikimbia kuna waliopelekwa hapo kwa wastani wa "A" na "B"! Kwanini hao walinyimwa hiyo fursa alafu wewe unaenda kuingia kwa rushwa kidato cha pili?
Sawa buana uko sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom