Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho ya kisasi kwa vile amegonga halafu akatimua bila kusimama utadhani kagonga upepo au panya.!
poleni sana ila mimi mwenyewe usiku nikikuta mtu barabarani nafumua mana wengine unaweza simama kumbe ni majambazi
RIP
Watz tuna tabia ya kupita ajali pasipo kutoa msaada.
Itatokea siku utampita nduguyo wa karibu na akapoteza maisha kwa kukosa msaada wa haraka
sometimes ukimya pia ni hekima,watu kama wewe unaweza kula pilau msibani ukasema mbona kachumbali hakuna.ukasahau kama pale msibani.
r.i.p kijana wetu
mtoa mada umefanya jambo jema kutoa funzo ya kwamba tuwe tunatembea na vitambulisho popote,nami naongezea funzo lingine,wakati wa kuvuka barabara kunapokuwa na magari machache ni hatari zaidi maana magari huenda kasi zaidi na inapokuwa ni usiku hali huwa mbaya zaidi,tuongeze tahadhari zaidi ktk mazingira hayo tajwa
lakini mwisho wa maelezo yako binafsi sijayapenda
kwanini umetengeneza "roho" ya kisasi???kusoma kwako hadi chuo kikuu kunakufanya uamini dereva anaweza kufanya makusudi kumgonga mtu???na hata wa gari la pili na la tatu unaona nao wamefanya makusudi kumgonga?