TANZIA Mwanafunzi wa UDSM (COET) agongwa na gari

Nasikitika sana kwa kifo cha mwanafunzi huyu,ila jamani tuache pia tabia ya kuua madereva na kuchoma magari Yao pindi wanaposimama kutoa msaada.Kwa mfano ukigonga mtu pale tandale just declare yourself dead ukisimama.Hii inachingia wengi kutosimama.RIP engineer wetu.So sad your life was cut short.
 
Aisee inasikitisha sana na polen sana kwa msiba.

On top: dereva makini ni yule awaonae woote ni wendawazimu ispokuwa yeye! I mean akiona mtu amefanya kosa ajitahidi kuepusha yale madhara ambayo yanaweza kuepukika, kwani kwa muda ule yeye ndio mzma na waliobaki ni wendawazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…