Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Naomba kuelekezwa namna ya kugeuza cm kwenda km. Kipimo ama scale 1:50,000 kizingatiwe.
1km=100000cm
X =50000cm
Divide by 100000cm both sides
1km×50000cm=100000cmx
100000cm. 100000cm
Hence x =1km×1/2
By doing so x is equal to 1/2km
Hence 1cm on map represent 1/2 or 0.5km on ground.have you understand?
 
1km=100000cm
X =50000cm
Divide by 100000cm both sides
1km×50000cm=100000cmx
100000cm. 100000cm
Hence x =1km×1/2
By doing so x is equal to 1/2km
Hence 1cm on map represent 1/2 or 0.5km on ground.have you understand?
Yeah, thank you.
 
IMG-20210626-WA0023.jpg


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Whatr physics behind the fact that "wastes stinky much in day time?
 
Explain five causes of temperature invesion and it's three impacts?
CAUSES
1.presence of ozone layer on atmosphere
2.water vapour
3.front action
4.Air subsidence
5.(.....)

Effects
1. Air pollution
2.Atmospheric stability effect.
3.(......)
 
Ndugu zangu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana nimepata division 3 Kwa point 22 naweza kwenda kusomea kozi Gani Na kwa gharam nafuu ufaulu nilio nao ni biology D, English C, civicsC,historyC,kiswahiliC,chemistryC,geography D ,physics Na math F,literature D je nafaa kusoma kozi Gani msaada jamani
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Swali,,kama umefutiwa matokeo ,,je unaweza kurisiti mtihani?
 
Nimemalza kidato Cha sita mchepuo wa HKL na Nina ufaulu wa div1.9 ...
ila linalo nitatiza ni course ipi nichague na mimi napenda IT ilihali nimesoma Art.

Naombeni ushauri ni kipi naweza somea na hata mwisho wa siku niweze kuji ajiri
 
Naomba kusaidiwa kusolve swali hili, Mwanangu kaniletea limenishinda
Natanguliza shukranView attachment 1750924
Sasa mimi nilijua wewe ndiyo mhusika,nilipenda nikusaidie ukafanye kisha ulete mrejesho,sasa mimi sijuia kama mwanao anaweza akachora sahihi kami nitakupa intro.
Maswali kama hayo kwanza unahitaji uwe na uwezo wa kutengeneza equation,sasa kama wewe naye hesabu ilikuwa shida univumilie.
Hiyo ni word problem sasa naenda kutengeneza equation,na ni "inequality' equation,mimi nimesoma zamani ila hesabu haikuwa shida

1.up to 25 cows ina weza kuwa pungufu ya 25 lakini haitakiwi kuzidi 25, i.e tutatumia less or equal to 25
2.let "X" be the numbaer of brown cow bought and "y" be the number of bleck cow bought.
Thus x+y<=25(please note kwenye computer <= namanisha less or equal na >= itaminisha greater or equal to
Hivyo equation ya kwanza ni
x + y<=25.........1
Anatakiwa kununua at leat 9 cows kwa kila aina i.e brown na black
Thus x>=9.........2( x is greater or equal to 9)
y>=9....................3 ( y is greater or equal to 9)
3.Jumla ya pesa anayotakiwa kutumia haitakiwi kuzidi Tsh 1,580,000 ila inaweza kupungua(inequality)
equation itahusisha bei ya ng'ombe unazidisha na idadi ya ngombe utakaonunua kwa kila aina
50,000x(brown) + 80,000y(black)<=1,580,000.................4
50,000x+ 80,000y<=1,580,000 .........................4


Aanatakiwa achore graphy inaoonyesha hizo equation nne,anakuwa anashade the unrequired part,akikamilisha atapata kitu kinachoitwa "optimum points" kama sijasahau kwani ni miaka mingi.
Hizo optimu points tutazitumia kwenye equation ya profit kujua zipi zitatupa profit kubwa
Equation ya profit ni
5,000x +6,000y................................5
Hizo optimum tutaweka hapo juu tuone value zipi za X na Y zinatupa jibu kubwa,kumbuka X itawakilisha brown na Y black cows.
Usiponielewa hapa utapata shida kumuelewa mwingine.Pole kwa kuchelewa kupata msaada,lakini wataalam wapo
Regards
Aqua
 
ett wakuu samahani,, je kunautfaut gani kat ya Bachelor of Arts in economics na Bachelor science in economics and finance interm of meaning and career
 
Samahani naomba kufaham muundo wa barua ya mdhamini wa kazi(referee) na vitu vya msingi vinavyopasw kuambatanishw kwenye barua hiyo[emoji1666]
 
SWALI HESABU

Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?
Hilo siyo swali la Hesabu.
Swali lako halijakamilika,lita moja ya kitu gani?maji,maziwa,oil,petrol?
Walimu mna kazi ya kuwafundisha hawa vijana wetu.
Ukisema lita moja ujazo,fahamu density ya hiyo liquid kisha utaweza kupata itakuwa na uzito gani ikiwa unajua lita moja in ujazo(volume kiasi gani) otherwise huwezi.
 
Back
Top Bottom