Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Ikiwa microscope,inauwezo wa kupima wingi wa vidudu vya malaria kwenye dam ya mwanadamu kwa kutoa sample nje ya mwili wa binadamu.

je hii inamaaanisha kwamba sample iliyotolewa nje na kukutwa na malaria mfano 2,ndo ina maanisha kuwa huyo mtu hatoweza kuwa na malria tena sababu wale wadudu wametolewa kwenye sample/microscope ilowekwa damu, au mgojwa huyu anakuwa na wadudu wengi zaidi sababu waliotolewa nj wachache tu?
 
Ikiwa microscope,inauwezo wa kupima wingi wa vidudu vya malaria kwenye dam ya mwanadamu kwa kutoa sample nje ya mwili wa binadamu.

je hii inamaaanisha kwamba sample iliyotolewa nje na kukutwa na malaria mfano 2,ndo ina maanisha kuwa huyo mtu hatoweza kuwa na malria tena sababu wale wadudu wametolewa kwenye sample/microscope ilowekwa damu, au mgojwa huyu anakuwa na wadudu wengi zaidi sababu waliotolewa nj wachache tu?
Mimi sio daktari lakini swali la kitoto sana. per sample ya blood withdrawn kuna average au chance ya kukuta wadudu wawili.
 
Swali la kwanza (1) umri wa mama ni miaka 37 na umri wa binti yake ni miaka 5.Je baada ya miaka mingapi umri wa mama utakuwa mara tano (5) ya umri wa binti yake? Swali la pili(2)

16489786652121633157454.jpg
 
Ikiwa microscope,inauwezo wa kupima wingi wa vidudu vya malaria kwenye dam ya mwanadamu kwa kutoa sample nje ya mwili wa binadamu.

je hii inamaaanisha kwamba sample iliyotolewa nje na kukutwa na malaria mfano 2,ndo ina maanisha kuwa huyo mtu hatoweza kuwa na malria tena sababu wale wadudu wametolewa kwenye sample/microscope ilowekwa damu, au mgojwa huyu anakuwa na wadudu wengi zaidi sababu waliotolewa nj wachache tu?
kinachopimwa ni concentration of plasmodium katka blood.
Kwa hiyo hoja yako ni sawa na kusema mtu anapoonja chumvi kwenye mboga ile inayoochwa kwenye chungu inakuwa haina chumvi 🤔🤔🤔🤔
 
Swali la kwanza (1) umri wa mama ni miaka 37 na umri wa binti yake ni miaka 5.Je baada ya miaka mingapi umri wa mama utakuwa mara tano (5) ya umri wa binti yake? Swali la pili(2)

View attachment 2174037
Hili ni swali la moja kwa moja

Umri wa mama 37
Umri wa binti 5
Baada ya miaka X itakuwa

37+X = 5(5+X)
37+X = 25+5X
37-25 = 5X-X
12 = 4X
X=3

Kwa hiyo ni baada ya miaka mitatu.
 
Jamani nauliza swali:
With vivid example of projects in Tanzania , illustrated on the advantage and disadvantage of community participation
 
Msaada wa hili swali la chemistry diploma level View attachment 2199050
Bwana mdogo, hebu changamsha akili...., vitu viko wazi
Molarity = moles(of solute) ÷ mass (of solvent)
What are solute and solvent in the quiz?
Solute = MgSO4
Solvent = Water H2O

Find moles of solute = mass÷ molar mass
Molar mass = mass of Mg + mass of Sulphur + mass of Oxygen
32+24.31+16=72.31g/mol-1
moles of solute = 60.155g ÷ 72.31g/mol-1 = 0.831mol
Mass of solvent given= 188g, convert to kg = 188g÷1000kg = 0.188kg=0.188Litres

Molarity = moles(of solute) ÷ mass (of solvent) in mol/L

Molarity = 0.831mol÷0.188L = 4.42mol/L


Percentage concentration = (Molarity * Molar mass * 100)÷ Density

Endelea..................
 
SWALI HESABU

Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?
Lita moja ya kitu gani? OK. Mass = Volume x Density
In SI Units: Mass in Kilogram(Kg)
Volume in Litres (Lt)
Density = Mass per Volume(q)
m=vxp; then v =m/p
Yaani, Lita moja = Uzito gawanya kwa density Lakini zingatia ni kitu/kimiminika kiwe ni cha aina moja e.g. kama ni maji iwe ni Density ya maji tu ndio Formula itakuwa sahihi.
 
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
With the aid of Genetz cross, explain in details the concept of Lethal genes
 
With the aid of Genetz cross, explain in details the concept of Lethal genes
In short, Lethal genes are genes(Hereditary traits)that lead to the extinction of a species. The specie can't survive irregardless of favourable conditions.
 
Back
Top Bottom