Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Lita ya kitu gani? Maji? Maziwa? Asali au kitu gani? Volume and Mass are two independent physical qualities. Huwez kubadili ujazo kuwa mass unless una density ya hicho kitu. Lita moja ya maji haina uzito sawa na lita moja ya maziwa asali au kerosene.

Acha ubishi Mss hyo ndiyo Calculation yenyewe, usifanye maisha kuwa magumu
 
Pembetatu pacha, angle ya juu ndani ni thamani ya'y' na angle mbili za ndani chini ni pacha, pia angle ya nje upande wa pacha ni thamani ya'3y' tafuta thamani ya 'y'
Hapo assume pembe mija ya pacha ni x therefore y+x+x=180,hence y+2x=180,thus y=180-2x......eqn1



Umesema pembe ya njevya pacha ni 3y hivyo x+3y=180,recall eqn1 substitute value of y utapata x+3(180-2x) =180,kokotoa thamani ya x utapata - 5x+540=180,thus5x=360,then x=72,but y=180-2x, therefore y=180-144,so y=36
 
Wazo la Leo

Kama upo Moro town nitafute uhamie Tanga jiji mimi nije huko.sec.0713142568
 
Biology c , chemistry d , geog d naweza pata shule ya private CBG
Mimi nina swali la Chemistry mkuu japo linaweza kuwa sio la chuo kikuu,ni hivii kuna wale watu wanakaaga chini ya maji na kufanya utafiti kwa marine organisms,hao watu huwa wanabeba mitungi ya gesi mgongoni ya kuwasaidia kupumua.

Swali: je huwa wanaivunaje hiyo oxygen na kuihifanyi kwenye lile dumu? Wanajuaje itawatosha na haitaisha kabla ya kumaliza utafiti wao?
Mimi nina swali la Chemistry mkuu japo linaweza kuwa sio la chuo kikuu,ni hivii kuna wale watu wanakaaga chini ya maji na kufanya utafiti kwa marine organisms,hao watu huwa wanabeba mitungi ya gesi mgongoni ya kuwasaidia kupumua.

Swali: je huwa wanaivunaje hiyo oxygen na kuihifanyi kwenye lile dumu? Wanajuaje itawatosha na haitaisha kabla ya kumaliza utafiti wao?

Mimi mtaalam wa bios kidogo.
preparation ya oxygen ni rahisi na kujua kama itatosha ,wanapima lung capacity ya diver na kucalculate Po2 inayohitajika for intended period of time
 
Mimi mtaalam wa bios kidogo.
preparation ya oxygen ni rahisi na kujua kama itatosha ,wanapima lung capacity ya diver na kucalculate Po2 inayohitajika for intended period of time
Thanks mkuu,na hiyo Po2 ni initial ya nini?
 
I guess,the question is exactly of the same nature as what is major difference between animals and plants coordinate systems?

But I shall confined myself with first form of question,why animals are more active than plants?

The reason for this,is that,animals possess nervous system which is more active while plants do not.

Nervous and endocrine systems are basic systems for regulation of any biological process

But animals possess both kinda system while plants have only one kind of system which is Endocrine

Nervous system which is possessed by animals only,is sayed to be more active than Endocrine,

Because it uses electric impulses to pass the signals to the target cell

While endocrine system which is possessed by plant uses chemical stimuli as their means of passing the signals

So animals are more active because electric impulses in their bodies travel faster than chemical stimuli in plants
Hongera jibu zuri Sana
GEOGRAPHY ALL TOPICS:FORM III

Kwa wanafunzi wa O level au QT,shule direct ni platform nzuri sana kwa wale wavivu wa kuandika notes

Nawashauri mfungue account kule.
 
english language form one mpaka form six ask me ntakujibu
Nomba msaada wa sentensi za nature hii.

The........, the.........

Example.

1. The higher you go, the cooler it becomes.

2. The older you grow, the wiser you will be.

3. The better you read, the easier you will pass your exams.

The apo inatumikaje mkuu?
 
unapovuta hewa unapunguza PRESSURE ndani ya kopo kwa hiyo PRESSURE ndani ya kopo itakuwa ndogo kuliko ATMOSPHERIC PRESSURE (nje ya kopo). na pressure = force/area. forcesr za nje zitakuwa kubwa kuliko forces za ndani na zitasababisha kopo ikunje.

Acha uongo, atmospheric pressure inahusiana vp na closed system??kama chupa ukiiacha wazi sawa, ila ukiziba na mdomo hakuna tena atmospheric pressure inayoexist.sema unatengeneza vacuum ndani ya chupa
 
Ngombe wote jumla waite Y. Sasa 0.2 ya Y wanaumwa ila wapo. Jumlisha na 180 wasioumwa jumla yao ni Y. Tafuta thamani ya Y hapo:
0.2Y + 180 = Y
0.2Y - Y = 0 - 180
-0.8Y = -180
0.8Y/0.8 = 180/0.8 = 90/0.4 = 45/0.2 =22.5/0.1
= (22.5x10)/(0.1×10) = 225/1 = 225 cows
Achana na ile 1/4 ya Ngombe kwani hao mzee yagayaga hana walishakufa.
Mzee yagayaga Ana jumla ya Ngombe 225 wanaoishi. Kati ya hao wasioumwa ni 180 na wanaumwa ni 225 - 180 = 45

Acha uvivu.

Kiherehere tu hujui hesabu, jibu ni 300
 
Usimuite mburula, mkifanya hivyo hamjengi taswira nzuri kwa aliyeuliza swali. Kwann mtukane na mnaweza kueleweshana? Ni kweli ng'ombe wote ni 300. Lakini huoni umekosea kwasababu mwenye swali aliuliza baada ya 1/4 kufa walibaki wangapi?

hakuna sehemu muuliza swali alisema walibaki wangapi,kauliza mzee ana ng'ombe wangapi.ng'ombe akifa bado ni ng'ombe,habadiliki kuwa mbuzi.
 
hakuna sehemu muuliza swali alisema walibaki wangapi,kauliza mzee ana ng'ombe wangapi.ng'ombe akifa bado ni ng'ombe,habadiliki kuwa mbuzi.

Tatizo lako we mkali. Ila sawa kama ndo ulivyolielewa hilo swali. Usijali sana
 
Tatizo lako we mkali. Ila sawa kama ndo ulivyolielewa hilo swali. Usijali sana

yule jamaa alinitukana nilipomkosoa awali bila kuweka kokotoo ndio maana nimebehave hivyo,sry
 
Wewe ndio kichaa kweli. Ng'ombe waliokufa ndio mtego mkuu katika hilo swali. Wewe hujui kitu kichwa kibovu kabisa. Unadhani hesabu zinaingiwa kishogashoga kama hivyo? Hapo Unadhani umepata mjinga Wewe? Eti ngombe aliyekufa bado ni ngombe. Ulikua na kuku kumi jana. Leo umeamka watano wamekufa. Leo Una kuku wangapi? Bado Una kuku kumi? Maiti walioko mochwari ni sehemu ya binadamu walioko dunianI? Acha kuongea Unadhani Una ndizi inaning'inia......

ndio maana unaambiwa usiweke hisia kwenye namba.Bado hao ni kuku ila wafu,hesabu haitaki hisia wala uungwana.Ni reality tu.
 
kesha na hii hesabu,nataka solution.

y^2 -x^2 =7 (y square minus x square)
y + x = 7
kwa msaada zaidi,y=4,x=3,lete solution

Hili swali linahitaji nini? Naona majibu yako wazi
 
Back
Top Bottom