Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Toa mchango wa Noam Chomsky na Frednard De sausu ktk taaluma ya sintaksia ya kiswahili
hongera kwanza kwa sal zuri Chomsky na Fednard De sausu hawa wameweza kuonesha nadharia ya Naratorojia ya uchambuzi wa fasihi ya Kiswahili licha ya hapo wataalamu hawa wameweza kufafanua misingi ya sintaksia ya kiswahili..
 
1.Culture is learned but not all things learned is culture. Discuss

2. Explain how the ideas of Carl max, Aristotle and plato has influenced the socio-economic development of Tanzania
 
Swali linalonisumbua ni:-
Kama 4÷2=2 Je!;.
4÷0 itakuwa ngapi????
 
Nashida ya mitihani na notes za commerce na bookkeeping one-six
 
Hebu solve yote hapo
aadb755e66a19d57da1e725cf790ec2a.jpg
 
Jaman mm naomba kusaidiwa hapa eti hii Division gan na point ngap au GPA gani?
Cvc-D
Engl-B
Kisw-C
History-C
Geo-E
Biol-E
Chem-E
Phs-F
B.math-F
Kwasababu nilifanya mtihani kipindi cha GPA, kwahyo nashindwa jinsi ya ku-convert to Division
Hiyo ni division 4 ya point 27
 
HOW THE COLLAPSE OF RUSSIAN SOCIALISM WAS A DETRIMENTAL PHENOMENON IN THE SOCIALIST COUNTEPARTS?
 
Watu wa history mnisaidie

Kwanini john speke aliunga mkono watu wa pwani?
 
Nina swali historian's mnisaidie .Eti kwa mini john speke aliunga mkono watu wa pwani?
 
Back
Top Bottom