Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Moi si ni kitengo cha mifupa? Waliopata ajali nk. Au nimekosea? Suala la Corona linatoka wapi?Maombi ya siku 3 yaliondoa CORONA Tanzania.
Hongera shujaa wa Africa Mwendakuzimu kwa kutuvusha vyema.
Ni kweli amefariki asubuhi hii. Alikuwa amelazwa MOIGhafla - haya mambo ni fikirishi sana.
Apumzike kwa amani mja wake mola huyu.
Aliwavusha halafu yeye akakwama !!Maombi ya siku 3 yaliondoa CORONA Tanzania.
Hongera shujaa wa Africa Mwendakuzimu kwa kutuvusha vyema.
[emoji1787][emoji2][emoji3] haiwezekani timfufue ili amsaidie jamaa kwenye maombi.Aliwavusha halafu yeye akakwama !!
Kuna kakitengo pale ka VIP vile vile.Moi si ni kitengo cha mifupa? Waliopata ajali nk. Au nimekosea? Suala la Corona linatoka wapi?
Moi si ni kitengo cha mifupa? Waliopata ajali nk. Au nimekosea? Suala la Corona linatoka wapi?
So unadhani kwa nini alipelekwa MOI mkuu ?Maombi ya siku 3 yaliondoa CORONA Tanzania.
Hongera shujaa wa Africa Mwendakuzimu kwa kutuvusha vyema.
Poleni wana ChatoRIP mwanadarasa mwenzangu pale mbuye s/m, na chato s/s.
Mazishi yatafanyika chato Tanzania.
Umekurupuka Huyu sio yule Mkinga w NASACO ambae nae amefariki Hivi karibuni.Huyu mkinga ni yule renatus mkinga au mkinga mwingine. Nasemea yule renatus mkinga ambae alitimuliwagaa uhamiaji