TANZIA Mwanahabari Mkinga Mkinga afariki dunia

TANZIA Mwanahabari Mkinga Mkinga afariki dunia

Inawezekana kuwa na COVID maana imerudi kwa kasi kubwa na idadi ya vifo imeanza kuongezeka tena. Mwenyezi Mungu atunusuru.

Kimsingi Dar sasa barakoa ni mandatory:

RC Makalla: Wakazi Dar jihadharini na Covid-19

Ilikuwa muhimu Mama akatia neno tulipo kwa mujibu wa mapendekezo ya tume yake mwenyewe.

Suala hili la kiafya lilishafanyiwa Siasa, hadi pale Mama atakapoliweka sawa siasa uchwara nalo zitaendelea.
 
Nimewaza tu kwanini apelekwe moi 😀
kuna mdau kutoka uzi huu: wimbi la tatu la .... serikali inatia hofu .....

namnukuu

"Fika muhimbili uone kama hadi wasiovunjika viungo hivi sasa hawalazwi MOI."
 
Hakuna corona kiasi hicho, mwenye ushuhuda anauguliwa na ndugu yake kwa korona na amelazwa muhimbili aje hapa
 
Back
Top Bottom