Ghafla - haya mambo ni fikirishi sana.
Apumzike kwa amani mja wake mola huyu.
Moi si ni kitengo cha mifupa? Waliopata ajali nk. Au nimekosea? Suala la Corona linatoka wapi?
Nimewaza tu kwanini apelekwe moi 😀Best ugonjwa wa ghafla wa mifupa umewahi kuusikia?
Akahamia kipindi cha nguvu ya hojaHuyu mkinga ni yule renatus mkinga au mkinga mwingine. Nasemea yule renatus mkinga ambae alitimuliwagaa uhamiaji
Inawezekana kuwa na COVID maana imerudi kwa kasi kubwa na idadi ya vifo imeanza kuongezeka tena. Mwenyezi Mungu atunusuru.
kuna mdau kutoka uzi huu: wimbi la tatu la .... serikali inatia hofu .....Nimewaza tu kwanini apelekwe moi 😀
Ana akili basi huyoMoi si ni kitengo cha mifupa? Waliopata ajali nk. Au nimekosea? Suala la Corona linatoka wapi?
Sio kujipa furaha wewe...yaan kabisa ukae unaish kufurahisha wengne na si wewe..kwel nmekubal duuuhMaisha ya dunia ni mafupi Sana yatumie kuwapa furaha wengine
Kuwapa furaha kuna tafsiri nyingi kwa namna nyingiSio kujipa furaha wewe...yaan kabisa ukae unaish kufurahisha wengne na si wewe..kwel nmekubal duuuh