TANZIA Mwanahabari mkongwe, Dkt. Gideon Shoo afariki dunia

TANZIA Mwanahabari mkongwe, Dkt. Gideon Shoo afariki dunia

Kama mmeamua kuweka wasifu wake ni vizuri pia kujua mwaka na mahali alipozaliwa, kujua umri wa marahemu ni muhimu hata kwenye takwimu tu, ..
Ni Mchaga wa Machame, lakini ni rika la Jenerali Ulimwengu, Salva Rweyemamu aliyekuwa mkurugenzi wa mawasiliano ikulu enzi za JK, ndio washkaji zake.

Manyerere Jackton yupo humu anaweza kumuelezea deeply.
 
Ni Mchaga wa Machame, lakini ni rika la Jenerali Ulimwengu, Salva Rweyemamu aliyekuwa mkurugenzi wa mawasiliano ikulu enzi za JK, ndio washkaji zake.

Manyerere Jackton yupo humu anaweza kumuelezea deeply.
Ni kweli kabisa ni mtu wa machame alikuwa mtu mzuri kwa upande wangu. Nilikutana naye kipindi nasoma KCMC alinisaidia sana na alinilipia ada kwa kipindi chote nasoma mpaka namaliza chuo. RIP Dr shoo
 
Mmoja wa Watanzania wa mwanzo kuwa na PhD ya Journalism.
Wakati utawala wa Mikail Gorbachev unaangushwa Urusi na Boris Yeltsin anaingia madarakani Dr Shoo alikuwa mwanafunzi Urusi na alishuhudia mabadiliko hayo makubwa ya kuanguka kwa ukomunisti.
 
Back
Top Bottom