Mwanahabari na Mchambuzi wa Soka nchini Saleh Ally ( Salehe Jembe ) ana maana gani kuweka hii taarifa na Picha ya Kocha wa Yanga SC Mwinyi Zahera?

Ni ujinga tu,kuna kocha alikuwepo Yanga simkumbuki jina ila ni mserbia alikuwa anavaa shati moja tu la blue msimu mzima,alipoulizwa akasema ndiyo nguo ya bahati kwako,so kila mtu anamaamuzi yake ila Tz umbea mwingi
 
Kumbe umeelewa kamaanisha nn mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…