Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Serikali imewaambia watu wake Corona haipo, kwa kauli hiyo ni sawa na kuwaambia watu wawe loose na wasiwe na sababu yeyote ya kuchukua tahadhari. Hili mbona simple tu jamaa wala halihitaji cheti cha std 7.Hivi kukiri udhaifu kuna shida ganiNani kakukataza kuvaa barakoa!??? Social distancing ni suala la prudence siyo mpaka uambiwe. Serikali haijawaambiwa watu wawe loose na kuacha kuchukua tahadhari, bali inamshukuru Mungu kwamba laana ya watu wenye midomo michafu kama nyie imewarudieni wenyewe. Poor soul! Fikiria hata kidogo basi, sawa!???
Kindok20, kumbuka huwezi kuishinda Covid-19 kwa kuchukuwa hatua za kujikinga na maambukizi peke yako. Ugonjwa huu ni wa ajabu. Very trouble some. Magonjwa mengi mfano Kipindupindu, malaria, homa ya matumbo, na kadhalika, unaweza kujikinga; siyo Covid-19!Cha msingi mimi ninachokiiona akili za kuambiwa changanya na za kwako usisubiri matarubeta ndo uone kumekucha, chukua tahadhari, social distance, vaa barakoa Masks, wabongo tuache kulalamika Mungu katupa akili ili tuzitumie. Je kuchukua tahadhari nayo unasubiri tangazo litolewe na Mhe.................... , chukua tahadhari mdudu yupo nchini.
Siyo hivyo wewe, au kwa kuwa wewe hujapotelewa na ndugu unajiona uko safe saana!Siku hizi hata mtu akifariki kwa nasibu kwenye ajali barabarani, basi ni korona!??? JPM kazi anayo kwelikweli. Nashauri Sisiemu iendelee kutawala tuuu hadi Tanzania [emoji1241] iwe zaidi ya Ulaya.
Kindok20, kumbuka huwezi kuishinda Covid-19 kwa kuchukuwa hatua za kujikinga na maambukizi peke yako. Ugonjwa huu ni wa ajabu. Very trouble some. Magonjwa mengi mfano Kipindupindu, malaria, homa ya matumbo, na kadhalika, unaweza kujikinga; siyo Covid-19!
Lazima kuwe na the so called collective responsibility huku mkiongozwa na Serikali.
Kwa taarifa yako Covid-19 ipo Tanzania in a new form after mutation of the Corona virus. Aina hii ya kiirusi ni aggressive zaidi kuliko ile ya mwanzo. Inaua haraka sana. Watu wapo mahospitalini wanaumwa na wengine wanafariki dunia kwa huo.
Tuache masihara. Viongozi wetu wa Serikali waache masihara. Covid-19 kama mauti, haiogopi cheo, wadhifa, wala hali ya uchumi wa mtu. Ninyi mnaowatisha watu kuwa watachukuliwa hatua wakitoa taarifa za ugonjwa, tunaweza shuhudia mnakumbwa nao; mbona tunashuhudia hadi mawaziri na watu wengine wenye vyeo wanaukiwa na Covid-19?
Tuchukuwe hatua, Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi Tanzania.
Unataka na wewe utumiwe polisi,wakupige virugu,wakukong'oli ndo ujitengeYeye kajitenga chato katuachia msala.
Yaani mnamuwaza Rais tu muda wote hamna kazi za kufanya kabisa.Yeye kajitenga chato katuachia msala.
Hiyo picha ni ya nani: Karugendo⁉️Oh! Prudence Karugendo Amefariki Dunia...
Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha mwanafamilia mwenzangu kwenye tasnia ya habari. Nilimfahamu Prudence hususani kwenye kazi yetu ya uandishi wa makala.
Nachukua fursa hii kumpa pole nyingi ndugu yangu kwenye uandishi, Padre Privatus Karugendo, kaka wa marehemu.
Apumzike Kwa Amani.
Maggid Mjengwa.
View attachment 1685584
Taarifa zaidi inafuata
Siyo padri😤😤😤😤😤😤Another scholar is gone..!! Rest in peace padri
”ujui” ni wapi huko?Basi ujui kila mtu ananawa
siku ukiondokewa na ndugu kebehi zako zitakwishaSiku hizi hata mtu akifariki kwa nasibu kwenye ajali barabarani, basi ni korona!??? JPM kazi anayo kwelikweli. Nashauri Sisiemu iendelee kutawala tuuu hadi Tanzania [emoji1241] iwe zaidi ya Ulaya.
Huyo ni mdogo wake Padre Privatus KarugendoAnother scholar is gone..!! Rest in peace padri
Very sad.
Mkuu hapa mwendazake ni mdogo wake na Fr Karugendo, ambaye ni Prudence Karugendo.
Siyo padri huyu, padri ni mdogo wake anaitwa privatus Karugendo.Another scholar is gone..!! Rest in peace padri
Shauri yenu mtajijua hukoYeye kajitenga chato katuachia msala.
Au sio aendelee huku akitokea Chato?Siku hizi hata mtu akifariki kwa nasibu kwenye ajali barabarani, basi ni korona!??? JPM kazi anayo kwelikweli. Nashauri Sisiemu iendelee kutawala tuuu hadi Tanzania [emoji1241] iwe zaidi ya Ulaya.
Bao la kujichua lingeokoa hii takatakaSiku hizi hata mtu akifariki kwa nasibu kwenye ajali barabarani, basi ni korona!??? JPM kazi anayo kwelikweli. Nashauri Sisiemu iendelee kutawala tuuu hadi Tanzania [emoji1241] iwe zaidi ya Ulaya.
Padri ni kaka yake Prudence. Padri anaitwa PrivatusAnother scholar is gone..!! Rest in peace padri
Ndio. Kwa ufupiMhm bado yupo Chato??