TANZIA Mwanahabari, Prudence Karugendo afariki Dunia

TANZIA Mwanahabari, Prudence Karugendo afariki Dunia

Serikali imewaambia watu wake Corona haipo, kwa kauli hiyo ni sawa na kuwaambia watu wawe loose na wasiwe na sababu yeyote ya kuchukua tahadhari. Hili mbona simple tu jamaa wala halihitaji cheti cha std 7.Hivi kukiri udhaifu kuna shida gani
Wewe kama unaamini corona ipo vaa chukua tahadhali wewe binafsi! Siyo kila siku unajiachia kariakoo huku unalalama unataka mpaka selikali ikwambie
 
Kindok20, kumbuka huwezi kuishinda Covid-19 kwa kuchukuwa hatua za kujikinga na maambukizi peke yako. Ugonjwa huu ni wa ajabu. Very trouble some. Magonjwa mengi mfano Kipindupindu, malaria, homa ya matumbo, na kadhalika, unaweza kujikinga; siyo Covid-19!
Lazima kuwe na the so called collective responsibility huku mkiongozwa na Serikali.
Kwa taarifa yako Covid-19 ipo Tanzania in a new form after mutation of the Corona virus. Aina hii ya kiirusi ni aggressive zaidi kuliko ile ya mwanzo. Inaua haraka sana. Watu wapo mahospitalini wanaumwa na wengine wanafariki dunia kwa huo.
Tuache masihara. Viongozi wetu wa Serikali waache masihara. Covid-19 kama mauti, haiogopi cheo, wadhifa, wala hali ya uchumi wa mtu. Ninyi mnaowatisha watu kuwa watachukuliwa hatua wakitoa taarifa za ugonjwa, tunaweza shuhudia mnakumbwa nao; mbona tunashuhudia hadi mawaziri na watu wengine wenye vyeo wanaukiwa na Covid-19?
Tuchukuwe hatua, Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi Tanzania.
Umeshudia wagonjwa wangapi wakiwa hospitali na wangapi wamekufa?
 
Kwa maana 99% ya watanzania ni Majuha, wanasikiliza Rais, Padre, Sheikh kasema nini nao wanafuata! To "me" and "you" haina shida, I know my way out of all this. Huyu mtu wa Brazil Mungu atamuangamiza kama wanavyoangamia wasio na hatia kwa kumsikiliza
Mungu siyo Amsterdam ndio maana kila ombi lenu linatupwa kapuni
 
hawahesabiki mkuu
Ok.. Nilifikiri unatakwimu kama zile za USA maana pamoja na kuwa ndio taifa linaloongoza kwa vifo ila idadi inajulikana,

Sasa kama hapa kwetu haihesabiki kuna uwezekano huko mitaani ni mizoga tupu
 
Hivi kuhusisha kila kifo na Covid19 bila taarifa au udhibitisho wowote, unahisi ni matumizi sahihi ya akili zako?
Serikali ijitokeze wazi iseme nin kinatokea kwa vifo vya ghafla namna hii na wanaokufa wanadalili za corona, kwann watu wasiseme ni corona hata kama sio korona.
 
Pole sana kwa familia yake na marafiki. Tunachoweza kusema sisi tuliobaki ni kumwombea heri na pumziko la amani.

Lakini tuendelee kutambua kuwa
Covid 19 ipo na inaua. Usisikilize wanaojificha kijijini na kusema COVID 19 haipo. Ukifa msiba ni wa wanao na ndugu zako tu. Wao wanaokudanganya hawatakuwepo.

Barakoa siyo utambulisho wa mrengo wa kisiasa bali ni kinga iliyothibitishwa ya kuzuia maambukizi ya COVID 19 kwa hadi 95%.

Epuka safari na misongamano isiyo ya lazima. Nawa kwa maji tiririka mara kwa mara na hakikisha kila mara unajipaka sanitizer.

"Mungu Baba wa Mbinguni akujalie upate tulizo na pumziko la milele. Naye akufanye mmoja kati ya wateule wa Sayuni watakaoketi mahali pa juu wakikusifu na kukuabudu katika siku ile ambako kila chozi letu litafutwa na kujazwa furaha na utukufu usio na mwisho. Amen"

Kwa heri Prudence Karugendo
Ndugu ndio tusome kati ya mistari kuwa.........ama?
lakini pia angalia, tulivyo hovyo wapo watakaosema unapotosha.
 
Pole sana kwa familia yake na marafiki.

"Mungu Baba wa Mbinguni akujalie upate tulizo na pumziko la milele. Naye akufanye mmoja kati ya wateule wa Sayuni watakaoketi mahali pa juu wakikusifu na kukuabudu katika siku ile ambako kila chozi letu litafutwa na kujazwa furaha na utukufu usio na mwisho. Amen"

Kwa heri Prudence Karugendo
Pumzika kwa Amani Prudence
 
Pole sana kwa familia yake na marafiki. Tunachoweza kusema sisi tuliobaki ni kumwombea heri na pumziko la amani.

Lakini tuendelee kutambua kuwa
Covid 19 ipo na inaua. Usisikilize wanaojificha kijijini na kusema COVID 19 haipo. Ukifa msiba ni wa wanao na ndugu zako tu. Wao wanaokudanganya hawatakuwepo.

Barakoa siyo utambulisho wa mrengo wa kisiasa bali ni kinga iliyothibitishwa ya kuzuia maambukizi ya COVID 19 kwa hadi 95%.

Epuka safari na misongamano isiyo ya lazima. Nawa kwa maji tiririka mara kwa mara na hakikisha kila mara unajipaka sanitizer.

"Mungu Baba wa Mbinguni akujalie upate tulizo na pumziko la milele. Naye akufanye mmoja kati ya wateule wa Sayuni watakaoketi mahali pa juu wakikusifu na kukuabudu katika siku ile ambako kila chozi letu litafutwa na kujazwa furaha na utukufu usio na mwisho. Amen"

Kwa heri Prudence Karugendo
Wakati huu kila mtu anayekufa ni Corona, kana kwamba kabla ya Corona hakukuwa na vifo!!
 
Back
Top Bottom