Mwanahalisi: JK apora nyumba Dar, mwenyewe aja juu

Naamini hiyo nyumba ni kati ya zile zilizouzwa na serikali kwa wafanyakazi wake kwa hiyo kama kapora basi pamoja na kiwanja kingine. Lakini km ndio hivyo mbona wapo wengi hapa ndipo hoja ya Pr.Safari ya kurudisha nyumba zote zilizouzwa kwa watumishi wake na mahawara zao ina kuwa ya msingi si kikwete tuu wapo wengi waliojipendelea nyumba za serikali.
 

Kwa mantiki hiyo basi hata waliouziwa nyumba za msajili wa majumba ambazo serikali ilizitaifisha
wamewapora wenye nyumba zao.
Mimi nafikiri kwamba baadhi ya taarifa zingine tusizikurupukie tu. Nyumba hiyo imetumiwa na maafisa wengi tu wa serikali sasa labda mwandishi atujulishe kama kwa kipindi chote hicho hao wahindi wakiipangisha serikali na leo wameporwa.La sivyo taarifa zingine ni za uzushi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…