Absolute JF-Expert Member Joined Jan 19, 2007 Posts 333 Reaction score 62 Oct 6, 2008 #21 lagatege said: Hivi saeed kubenea na ujanja wote kashindwa kuliweka gazeti kwenye mtandao? Angepata support kutoka kwa watanzania wengi walio nje ya nchi.Hata baada ya mkuu invisible kuwa tayari kumsaidia bila gharama yoyote ni zaidi ya mwezi haja respond bado? Click to expand... If so, then it gonna be the amazing reality!
lagatege said: Hivi saeed kubenea na ujanja wote kashindwa kuliweka gazeti kwenye mtandao? Angepata support kutoka kwa watanzania wengi walio nje ya nchi.Hata baada ya mkuu invisible kuwa tayari kumsaidia bila gharama yoyote ni zaidi ya mwezi haja respond bado? Click to expand... If so, then it gonna be the amazing reality!
Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,904 Reaction score 1,064 Oct 6, 2008 #22 Si invisible alisema kuongea naye kwa simu? Ngoja atatuletea taarifa wapi wamefikia. Usianze kulalamika tuuuu.
Si invisible alisema kuongea naye kwa simu? Ngoja atatuletea taarifa wapi wamefikia. Usianze kulalamika tuuuu.