Absolute
JF-Expert Member
- Jan 19, 2007
- 333
- 62
Hivi saeed kubenea na ujanja wote kashindwa kuliweka gazeti kwenye mtandao? Angepata support kutoka kwa watanzania wengi walio nje ya nchi.Hata baada ya mkuu invisible kuwa tayari kumsaidia bila gharama yoyote ni zaidi ya mwezi haja respond bado?
If so, then it gonna be the amazing reality!