" Tumepokea taarifa kuhusu kupotea kwa Maria Sarungi, ila yule ni mtu mzima unaweza kuta amaenda South Africa au yuko sehemu tu kajificha, ila tunaahidi kulifanyia kazi"
Magufuli, Samia, Makonda na wewe akili zenu zote zinafanana. Mnaua huku mnacheka, mashetani ninyi mmebakia watatu, mmoja anaungua moto huko alikokwenda. Fala wewe