Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Kuna mwanachama mmoja wa jamii forum yuko muhimbili amelazwa kwa jina ni athumani hamisi , nashangaa kwanini hatumpi pole tunajifanya hatujui kinachoendelea au kwasababu yeye ndio aliyehusika katika ukaguzi wa wale vijana wawili wakati ule wa mshike mshike ?
Tuwe waungwana jamani
Tuwe waungwana jamani
Last edited by a moderator: