Mwanajeshi amuua Kasisi aliyetembea na mke wake

Somebody sleeping in my bed, dru hill waliimba. Kifinyo kiendelee kutolewa kwa wale wote wanaodowea penzi la wenzao. Vitendo vya kula wake za watu vimezidi sana
 
Kha! Sasa baadala ya kumuua mke yeye anaua mwanaume mwenzie....jinga kabisa.
Anyways, mbususu hizi tuna share jameni tusiwe na wivu nazo
 
hata kama mwanamke atakuhakikishia vipi kwamba amemshika mumewe usiende kwake kumtafunia kwake.
Hata km akikwambia hajaolewa usiende kwake asije akakutegeshea kifiro kitakatifu ndugu yangu mpeleke unapopajua wewe unspotted by anyone usithubutu kwenda kwake hata km amekwambia hana Mume usiende kwake usipende Kitonga utakufa na kisu kikiwa kwenye njia ya haja kubwa
 
Makasisi kwa kuwa wana pesa poa za sadaka wana tabia ya kuwapeleka wake za watu katika mahotei makubwa ambapo mwenye mke hawezi kufika.
 
Mwana kulifind mwana kuliget

Nasimama na soldier. Mwanamke achepuke awezavyo ila si ndani kwangu, tena kitandani kwangu!
Hili ni darasa kubwa humu jf mchepuko unakuja ndani ya nyumba Tena anaambiwa asikutwe anakuja jf kuomba ushauri
 
Reactions: I M
Kama wana watoto,, lazima mmoja wa kasisi.
 
Hawa makasisi wa zama hizi sijui wamepatwa na nini wallah! Kila siku ni visa vyao tu mara huyu kashiriki kuua albino mara mwingine anamkula mke wa mtu! Hivi hawa watumishi siku wakikutana na Yesu watamwambiaje?
 
Hawa makasisi wa zama hizi sijui wamepatwa na nini wallah! Kila siku ni visa vyao tu mara huyu kashiriki kuua albino mara mwingine anamkula mke wa mtu! Hivi hawa watumishi siku wakikutana na Yesu watamwambiaje?
Hii dini ipigwe marufuku Tanzania
 
Soulja boy atakuwa anafeel good mno muda huu, maana kautetea uanaume wake
 
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…